Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Ukweli unasambaa, Uongo unazidi kujitenga...!
Kulingana na Taarifa Ya Habari, Redio Tumaini - saa 9:00 alasiri hii, Chama cha NCCR Mageuzi kimetoa tamko kuwa Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa mbovu, umevurugwa na Kura nyingi zimeibiwa kwa kiwango kikubwa, jambo amabalo limeharibu na kuvuruga haki karibu nchi nzima.
Pia Taasisi ya Wanasheria ambayo ilikuwa ikishirikiana na taasisi nyingine kadhaa kusimamia uchaguzi zimetoa Tamko kuwa Uchaguzi haukuwa huru na haki Maana Tume haiko huru, imeteuliwa na Rais ambaye naye alikuwa Mgombea, ndio maana kumekuwa na ukiukwaji na ucheleweshwaji wa makusudi wa matokeo has kule ambako vyama vya Upinzani vilionekana kuishinda; Mfano Arusha, Mwanza, Dar, Mbeya nk...
Source: Taarifa Habari; Radio Tumaini saa 9:00 alasiri.
Kulingana na Taarifa Ya Habari, Redio Tumaini - saa 9:00 alasiri hii, Chama cha NCCR Mageuzi kimetoa tamko kuwa Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa mbovu, umevurugwa na Kura nyingi zimeibiwa kwa kiwango kikubwa, jambo amabalo limeharibu na kuvuruga haki karibu nchi nzima.
Pia Taasisi ya Wanasheria ambayo ilikuwa ikishirikiana na taasisi nyingine kadhaa kusimamia uchaguzi zimetoa Tamko kuwa Uchaguzi haukuwa huru na haki Maana Tume haiko huru, imeteuliwa na Rais ambaye naye alikuwa Mgombea, ndio maana kumekuwa na ukiukwaji na ucheleweshwaji wa makusudi wa matokeo has kule ambako vyama vya Upinzani vilionekana kuishinda; Mfano Arusha, Mwanza, Dar, Mbeya nk...
Source: Taarifa Habari; Radio Tumaini saa 9:00 alasiri.