Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 117
Siasa inabadilika kila wakati kulingana na maitaji ya wakati husika, lakini moja ya vitu vinavyotisha na kusononesha ni vitendo vya wafuasi wa CHADEMA kuishambulia NCCR-Mageuzi!
Mbatia amekuwa bega kwa bega na CHADEMA hasa katika mapito ya chama hicho, kesi Mbowe NCCR-Mageuzi imeweka mawakili lakini bado Mbatia amesema sana kuhusu Mbowe. Leo wafuasi wa CHADEMA bado watoa mbovu sana tu kwa Mbatia!
Ni bora NCCR-Mageuzi kuachana nao kabisa kwa sababu hata Mbowe mwenyewe amekaliliwa sana akimkosea Mbatia adabu ila Mbatia hajawahi kutaka kulipiza dhidi ya Mbowe. CHADEMA inafikiri wao tu wenyewe watashinda, basi washinde tu naona 2020 walishinda pia.
Mbatia amekuwa bega kwa bega na CHADEMA hasa katika mapito ya chama hicho, kesi Mbowe NCCR-Mageuzi imeweka mawakili lakini bado Mbatia amesema sana kuhusu Mbowe. Leo wafuasi wa CHADEMA bado watoa mbovu sana tu kwa Mbatia!
Ni bora NCCR-Mageuzi kuachana nao kabisa kwa sababu hata Mbowe mwenyewe amekaliliwa sana akimkosea Mbatia adabu ila Mbatia hajawahi kutaka kulipiza dhidi ya Mbowe. CHADEMA inafikiri wao tu wenyewe watashinda, basi washinde tu naona 2020 walishinda pia.