Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
kwa kweli nimeshangazwa sana na yanayojiri sasa ktk anga za siasa nchini Tanzania
hivi NCCR kushupalia makosa ya CHADEMA na kutumia makosa hayo kunaijenga NCCR au ndio kuua upinzani pamoja na wao wenyewe?
nimejiuliza sana bila ya kupata majibu baada ya kuangalia kwenye TV na kumuona mwenyekiti wa NCCR akisema sasa anamtaka Zitto ajiunge nao ili walete demokrasia makini ?
toka mwanzo nnaamini CHADEMA ni chama dhaifu kama ilivyo kwa wapinzani wengine, lkn huku wanakoondeleA kwenda jee si sawa na kujiua wao wenyewe hivi kweli motion hii itawasaidia NCCR ?
nna wasi wasi kuwa uchaguzi ujao utakuwa ni msiba mkubwa sana kwa vyama hivi viwili
naona ile dhambi yao ya kuibagua CUF sasa imeanza kuwarudi
hivi NCCR kushupalia makosa ya CHADEMA na kutumia makosa hayo kunaijenga NCCR au ndio kuua upinzani pamoja na wao wenyewe?
nimejiuliza sana bila ya kupata majibu baada ya kuangalia kwenye TV na kumuona mwenyekiti wa NCCR akisema sasa anamtaka Zitto ajiunge nao ili walete demokrasia makini ?
toka mwanzo nnaamini CHADEMA ni chama dhaifu kama ilivyo kwa wapinzani wengine, lkn huku wanakoondeleA kwenda jee si sawa na kujiua wao wenyewe hivi kweli motion hii itawasaidia NCCR ?
nna wasi wasi kuwa uchaguzi ujao utakuwa ni msiba mkubwa sana kwa vyama hivi viwili
naona ile dhambi yao ya kuibagua CUF sasa imeanza kuwarudi