johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Mwenezi wa sasa wa NCCR Dkt. Frank anasema Kaimu mwenyekiti wao mh Ambari ameuza Majumba yake, mashamba, magari na mali nyingine ili kupata Fedha za kuendesha chama
Naye mwenezi wa zamani Profesa Simbeye amesema James Mbatia alitoa shamba lake la Bagamoyo kwa NCCR ili kijengwe Chuo cha uongozi pia alitoa Fedha zake binafsi kukinunulia chama nyumba kule Musoma na Bunju
Sasa kama Ambari na Mbatia wamejitoa namna hii kwa Chama chao itakuwaje kwa Bilionea Freeman Mbowe wa Chadema?
Yawezekana Mbowe aliongiza Matrilioni ya tsh pale Chadema ndio sababu WanaChadema wa nchi nzima wamegoma asing'atuke mwakani
J4 Mungu akubariki sana!
Naye mwenezi wa zamani Profesa Simbeye amesema James Mbatia alitoa shamba lake la Bagamoyo kwa NCCR ili kijengwe Chuo cha uongozi pia alitoa Fedha zake binafsi kukinunulia chama nyumba kule Musoma na Bunju
Sasa kama Ambari na Mbatia wamejitoa namna hii kwa Chama chao itakuwaje kwa Bilionea Freeman Mbowe wa Chadema?
Yawezekana Mbowe aliongiza Matrilioni ya tsh pale Chadema ndio sababu WanaChadema wa nchi nzima wamegoma asing'atuke mwakani
J4 Mungu akubariki sana!