Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 117
Baada ya kile kilichoitwa mapinduzi yaliyomuondoa Mbatia kwenye chama, hali imerejea kuwa shwari Baada ya ofisi kurejea kwenye mikono ya chama. Mapema Katibu mkuu wa chama hicho ilifunga ofisi hizo na kuzuia asingie mtu mpaka jumatatu.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana Bwana Nicolas Clinton akiongozana Vijana walifungua ofisi hizo na kumruhusu Mbatia kuingia ofisini. Mpaka sasa hali ni shwari na eneo lote la makao makuu ya chama linadhibitiwa na chama hicho.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana Bwana Nicolas Clinton akiongozana Vijana walifungua ofisi hizo na kumruhusu Mbatia kuingia ofisini. Mpaka sasa hali ni shwari na eneo lote la makao makuu ya chama linadhibitiwa na chama hicho.