Chama cha NCCR Mageuzi, kimeanza mkakati wa chini chini wa kuwashawishi wanachama na mashabiki wao kutopigia kura mgombea yeyote , aliyesimama kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Source: MKAKATI
View attachment 291153
hakuna haja ya kuwapigia wezi kura halafu wanawahadaa watanzania ati wanataka kufanya mabadiliko kitu ambacho ni uongo mtupu hongera kwa maamuzi sahihi maana tungeshangaa kuona mnashabikia ujinga
twende na muadilifu magufuli
twende na katapila, jembe letu, panga letu,kila kona visiki na magugu vitatoka.