TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
Chama cha NCCR Mageuzi, kimeanza mkakati wa chini chini wa kuwashawishi wanachama na mashabiki wao kutopigia kura mgombea yeyote , aliyesimama kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Source: MKAKATI
Source: MKAKATI