Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,354
- 2,763
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa, kaa kwa kutulia mkuuNBS wanapaswa kukaa na kutoa ufafanuzi kuhusu sitofahamu zinazoendelea kuhusu ajira za muda mfupi
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa, kaa kwa kutulia mkuuNBS wanapaswa kukaa na kutoa ufafanuzi kuhusu sitofahamu zinazoendelea kuhusu ajira za muda mfupi
hapana mzee wewe ni mwalimu mkuu utake ndio hivyo hutaki ndio hivyo..Mimi sio Mwalimu mkuu,Ila nimepata msimamizi wa maudhui
Wameenda lini wakati hata usahili bado na majina hayajatoka halmashauri zote!Ndicho nilichomjibu; kuna watu wengi tu kutoka mtaani nawafahamu wamekwenda kwenye hayo mafunzo anayosema ni ya walimu wakuu pekee
Usitupe taka hapa lakini huambiwi/huoneshwi utupe wapi.Karibu Tanzania!
Zima simu Yako! Halafu pembeni unaambiwa Lipa kwa mpesa!
swali zuri,mwenye jibu tafadhali?Wakuu naomba kufahamu muongozo unasemaje kuhusu namna wasimamizi wa maudhui watakavyopangiwa kazi. Je wanapangiwa kila mtaa au kata au utaratibu gani unatumika?
Kwani malipo yenyewe jumla Ths ngapi??!...Wakuu naomba kufahamu muongozo unasemaje kuhusu namna wasimamizi wa maudhui watakavyopangiwa kazi. Je wanapangiwa kila mtaa au kata au utaratibu gani unatumika?
Inategemea na ukubwa wa sehemu jinsi ilivyo, kwa mfano Sensa ya mwaka 2012 ilikuwa kila kitongoji katika kijiji kinakuwa na karani wake, na vilevile kila kijiji kinakuwa na msimamizi wa maudhui/karani mkuu, ila vijiji vinatofautiana kwa wingi wa watu pamoja na makazi yao kwa hiyo unaweza kukuta vijiji vingine kunakuwa na wasimamizi wa maudhui zaidi ya mmoja, mnaweza kuwa wawili na kuendelea.Wakuu naomba kufahamu muongozo unasemaje kuhusu namna wasimamizi wa maudhui watakavyopangiwa kazi. Je wanapangiwa kila mtaa au kata au utaratibu gani unatumika?