kalukamise
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 683
- 189
swala ni kwa nini islamic katika bank ya Taifa ?? ingekuwa vinginewe bank ingechomwa moto kudadeki....
you have to proud of what you believe!advertising what you believe .... big shame
you have to proud of what you believe!
acha kupotosha umma mkuu,nani kakwambia kuwa islamic banking ni special kwa waislaam!mi ni mkristo but nina hiyo akaunti,shame on u,ni account ambayo hela tunazo deposit zinapelekwa kweny clear investments na siyo kukopeshwa watu wenye business kama ,guest,bar,breweries n.k
islamic banking imepata fungu la kuanzia kutoka alqaeda
Mie nina mabanda ya "mkuu wa meza" naruhussiwa kufungua akaunti ya kiislamu?
maana yake nini sasa, kwani hela yako akikopeshwa muuza bia wewe unadhurika nini au utajuaje, au hizo pesa zinawekewa alama, upuuzi tu...., kwenye circulation kuna pesa mpaka za wauza mdudu.
Ignorance is the greatest enemy of mankind!Kazi ya JK hii. Hiyo bank naichukia kuliko muuaji wa Albino.
Watakuwa wanauza na tende,halua,ubwabwa,kahawa na kashata humo.
Hii ni account maalumu kwa wacheza bao, madraft na kula kashata misikitini! Itakuwaje uweke pesa humo, bils shaka ni mapango mahususi wa kufadhili magaidi
Christians...mbona hamjiamini?
Copy paste hizi mazee, andika kifupi na kiswahili, ilimu yangu ya Madrasa sijaambulia kitu hapa
kazi ya baba-mwanaAsha..
Na shule za sekondari zaidi ya 4,000 ni kazi yake pia,
Na zahanati zaidi ya 6,000 ni kazi yake pia,
Na Universties zaidi ya 6 ni kazi yake pia,
Na barabara zaidi ya kilomita 10,000 ni kazi yake pia,
Na umeme zaidi ya 3,000 MW ni kazi yake pia,
shule zaidi ya 4,000 zisizokuwa na waalimu, vitabu wala maabara....zilizospecialize kuzalisha division zero
zahanati zaidi ya 6,000 zisizokuwa na madawa, madaktari, wauguzi wala vipimo........
University zaidi ya 6 zisizokidhi viwango......ambapo mikopo kupata ni mgogoro.....
Barabara zaidi ya km 10,000 , zenye viwango duni kama barabara ya Kilwa.....
Umeme zaidi ya megawat 3,000 unaokatika kila baada ya masaa mawili bila mpangilio , ambao mikataba yake imegubikwa na ubinafsi..... Loh!!!!!!!