je hii bank inakopesha na makafiri?kuna rafiki yangu anamradi wa nguruwe je wataweza kumkopesha mkopo ?
je hii bank inakopesha na makafiri?kuna rafiki yangu anamradi wa nguruwe je wataweza kumkopesha mkopo ?
Mmmh!Kuna tofauti kati ya lugha ya kiarabu na dini ya kiislam jamani
na isitoshe dini si ishu jamaniiii eh!
I love u Rejao.......me christian ila nakupenda sana naomba unioe bila conditions za imani!
with love mama d
acha kupotosha umma mkuu,nani kakwambia kuwa islamic banking ni special kwa waislaam!mi ni mkristo but nina hiyo akaunti,shame on u,ni account ambayo hela tunazo deposit zinapelekwa kweny clear investments na siyo kukopeshwa watu wenye business kama ,guest,bar,breweries n.k