Nbc yawa bank ya kiislamu

Natamani siku hii nchi itakapogawanywa baina ya Wakristu, Waislam, Wapagani na Wachawi kila mtu achukue kipande chake tusijuane tena
 
je hii bank inakopesha na makafiri?kuna rafiki yangu anamradi wa nguruwe je wataweza kumkopesha mkopo ?
 
  • Thanks
Reactions: Tom
je hii bank inakopesha na makafiri?kuna rafiki yangu anamradi wa nguruwe je wataweza kumkopesha mkopo ?

Nenda mkombzi bank watakupa huo mkopo haraka, maana hizo ndio miradi wanayoifadhili zaidi (priority areas)
 
je hii bank inakopesha na makafiri?kuna rafiki yangu anamradi wa nguruwe je wataweza kumkopesha mkopo ?

Ktk Tanzania huru ng'ombe kwa ajili ya butcher wamechinjwa kiislam (Halal), je wewe kafiri unaruhusiwa kununua nyama? Of course nani asiyekula kit'moto - si mwislam si mkristu wote wanakula isipokua wale ambao inawadhuru kiafya ama hawaipendi tu kama wengine wasivyopenda kula KAMBALE - wengine watasingizia kutokula tokana na dini zao lakini hiyo poa tu NDIO TZ yetu huru ilivyo, kila kitu ni kufanya mambo kuvutia kwenye kundi unalolipenda. Tz ni ya makundi yasiyogombana ama yasiyonavita.

Ukitaka Islamic mkopo nenda kajieleze NBC Bank - na km Uislam ni lazima kwa nini usiwe Mwislam kwa siku chache tu zile za kuombea Mkopo. Mkristo/Mwislam wote hamna kitu - amini sayansi kua ukifa ni kuoza tu na uhondo ama maafa ya maisha unawaachia wengine.

Fuata sheria za nchi na tenda mema kwa jirani yako na uwapendao, zaidi ya hapo kwa starehe zaidi na raha ktk maisha yako, furahia Islamic Banking na kula Kit'moto. Kama UNAAMINI MUNGU usisahau kutubu ili ujisikie UMEKAMILIKA rohoni mwako na utakua umejipa amani - sawa na kwamba cheka na jirani yako ili ujisikie SALAMA.
 
Kuna tofauti kati ya lugha ya kiarabu na dini ya kiislam jamani

na isitoshe dini si ishu jamaniiii eh!

I love u Rejao.......me christian ila nakupenda sana naomba unioe bila conditions za imani!

with love mama d
Mmmh!
Haya mama D!
 
acha kupotosha umma mkuu,nani kakwambia kuwa islamic banking ni special kwa waislaam!mi ni mkristo but nina hiyo akaunti,shame on u,ni account ambayo hela tunazo deposit zinapelekwa kweny clear investments na siyo kukopeshwa watu wenye business kama ,guest,bar,breweries n.k


Acha kutudanganya hapa unajuaje hizi hela ni za mkriso au muislam??au hizi ni za islamic account au la??
au hela ikiingia kwenye account inaonyesha hii ni ya islamic na hii sio???au bank huwa wanaweka hela sehemu tofauti za islamic na za wale ambao sio.....acha kudanganywa kirahisi hivyo,wao wanataka deposite na hiyo ndo njia rahisi waliyoona wanaweza kuipata kutoka kwako
 
Back
Top Bottom