babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 329
- 814
Machampioni watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans S.C almaarufu Yanga leo wanashuka dimbani kukabilia na Ihefu katika mwendelezo wa ligi kuu ya Nbc...
Mchezo huo utakuwa mgumu kwa timu zote kwani Yanga wanataka kushinda ili kulipa kisasi cha kuvunjiwa rekodi yao ya unbeaten na Ihefu kwenye mechi yao ya mzunguko wa kwanza iliyopigwa Nov 29 mwaka Jana.
Pia ushindi Kwa Yanga utaisaidia kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi huku Ihefu nao wakiitaji alama zote tatu ili kujinasua kutoka kwenye nafasi za mwisho mwisho mwa msimamo wa ligi.
Utakuwa nami mwanzo paka mwisho wa mbungi hili
Vikosi vya timu zote ni kama ifuatavyo
""""""""""""""""""'''''
00' Mpira umeanza Kwa Kasi sana hapa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye Dakika 90 za kisasi Kwa Wananchi
03' Ihefu wanapata faulo nje kidogo ya lango la Yanga ila mpira wa Never Tigere unaokolewa na mabeki wa Yanga
05' Yanga wanatandaza soka safi hapa langoni wa Ihefu lakini Tuisila Kisinda anaotea
08' Kisinda anapiga shuti kali langoni mwa Ihefu lakini linaenda juu ya lango
10' Kona ya kwanza ya mchezo inapigwa kuelekea lango la Ihefu ila golikipa wa Ihefu anaondoa hatari ile
28' Shambulizi Kali langoni mwa Ihefu lakini Kisinda anapoteza nafasi pale
HT' Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimetamatika milango yote bado migumu
Tukutane kipindi cha pili
46' Kipindi cha pili kimeanza hapa Uwanja wa Benjamin Mkapa
62' Yanga wanafanya mabadiliko, anaingia Kennedy Musonda kuchukua nafasi ya Kisinda, mashabiki wanamshangilia
64' Gooool.... Fiston Mayele anaifungia goli la kwanza Yanga
70' Musonda anaachia shuti kali lakini linapanguliwa na golikipa wa Ihefu.
Huyu Musonda anaonekana ni mtu hatari sana
88' Yanga bado wanaliandama lango la Ihefu kama nyuki na wanapoteza nafasi nyingine ya wazi kupitia Dickson Ambundo
90' Zimeongezwa dakik 2 hapa
Naaam mpira umekwisha hapa Benjamin Mkapa, Wananchi wanafanikiwa kulipa kisasi na kuondoka na ushindi wa bao Moja goli likifungwa na mfalme Fiston Mayele.
Mchezo huo utakuwa mgumu kwa timu zote kwani Yanga wanataka kushinda ili kulipa kisasi cha kuvunjiwa rekodi yao ya unbeaten na Ihefu kwenye mechi yao ya mzunguko wa kwanza iliyopigwa Nov 29 mwaka Jana.
Pia ushindi Kwa Yanga utaisaidia kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi huku Ihefu nao wakiitaji alama zote tatu ili kujinasua kutoka kwenye nafasi za mwisho mwisho mwa msimamo wa ligi.
Utakuwa nami mwanzo paka mwisho wa mbungi hili
Vikosi vya timu zote ni kama ifuatavyo
""""""""""""""""""'''''
00' Mpira umeanza Kwa Kasi sana hapa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye Dakika 90 za kisasi Kwa Wananchi
03' Ihefu wanapata faulo nje kidogo ya lango la Yanga ila mpira wa Never Tigere unaokolewa na mabeki wa Yanga
05' Yanga wanatandaza soka safi hapa langoni wa Ihefu lakini Tuisila Kisinda anaotea
08' Kisinda anapiga shuti kali langoni mwa Ihefu lakini linaenda juu ya lango
10' Kona ya kwanza ya mchezo inapigwa kuelekea lango la Ihefu ila golikipa wa Ihefu anaondoa hatari ile
28' Shambulizi Kali langoni mwa Ihefu lakini Kisinda anapoteza nafasi pale
HT' Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimetamatika milango yote bado migumu
Tukutane kipindi cha pili
46' Kipindi cha pili kimeanza hapa Uwanja wa Benjamin Mkapa
62' Yanga wanafanya mabadiliko, anaingia Kennedy Musonda kuchukua nafasi ya Kisinda, mashabiki wanamshangilia
64' Gooool.... Fiston Mayele anaifungia goli la kwanza Yanga
70' Musonda anaachia shuti kali lakini linapanguliwa na golikipa wa Ihefu.
Huyu Musonda anaonekana ni mtu hatari sana
88' Yanga bado wanaliandama lango la Ihefu kama nyuki na wanapoteza nafasi nyingine ya wazi kupitia Dickson Ambundo
90' Zimeongezwa dakik 2 hapa
Naaam mpira umekwisha hapa Benjamin Mkapa, Wananchi wanafanikiwa kulipa kisasi na kuondoka na ushindi wa bao Moja goli likifungwa na mfalme Fiston Mayele.