NBC PL| Mtibwa Sugar 0 - 2 Yanga | Manungu Complex

NBC PL| Mtibwa Sugar 0 - 2 Yanga | Manungu Complex

Goli la mkono wa Mungu kama alilofunga hayati Diego Armando Maradona dhidi ya Uingereza mwaka 1986 pale Mexico
 
Kuna mtu tunaenda kumwacha point 8 hehe he...
Walijua mtibwa leo atakaza wapunguze gap bt naona leo mtibwa anaenda kufaaaaa
Sisi Kwa Sasa tunaiwakilisha nchi kimataifa, suala la Gap la points ni vitu vidogo tu kwetu
 
Goli la mkono wa Mungu kama alilofunga hayati Diego Armando Maradona dhidi ya Uingereza mwaka 1986 pale Mexico
Mi nimeacha kuuangilia huu mpira tu pale nilipoona aliyechezewa rough ndio kapewa na kadi kabisa

Kumbe haikuishia hapo, hilo goli la mkono sijaliona ngoja nitaona highlight
 
Nkane anajaribu kutengemeza shambulizi lakini mabeki wa Mtibwa wanaondoa hatari langoni mwao
 
Mi nimeacha kuuangilia huu mpira tu pale nilipoona aliyechezewa rough ndio kapewa na kadi kabisa

Kumbe haikuishia hapo, hilo goli la mkono sijaliona ngoja nitaona highlight
Pamoja na kwamba limekataliwa ila Azam wanafeli sana kwenye camera zao azioneshi tukio kwa ufasaha kwa asilimia mia tofauti na wafanyavyo supposed sports. Wanafanya replay inayoonesha tu kuwa mpira na mkono ulikuwa na uelekeo mmoja ila hawatamatishi kwa kuonesha mkono ukigusana na mpira.
 
Back
Top Bottom