Nenda na wewe ukauze vitumbuaKipa kauza mechi
Cheki mnavyoshangilia utafikiri mmepata goli la kuongoza group CAF
kwenye hali gani ya uwanja?Ulimfunga Ngapi Huyu?
Comment in English please!Kwahiyo waliongeza dakika tano kisha mtibwa wakafungiwa miguu na mikono ili wao wasijepata goli? Dakika zinaongezwa kwa timu zote mbili. Vipi kama mtibwa wangepata goli? Ungesemaje?
Ingekuwa simba mnyama mkali ungesikia zingeitishwa press hadi na baraza la vijana la yangaKwahiyo waliongeza dakika tano kisha mtibwa wakafungiwa miguu na mikono ili wao wasijepata goli? Dakika zinaongezwa kwa timu zote mbili. Vipi kama mtibwa wangepata goli? Ungesemaje?
Kwani Yule Red Arrow Ulimfunga Ngapi Kwenye Mvua [emoji16]kwenye hali gani ya uwanja?
Sasa dingi bado una msimamo huo huoGoli la pili
Malizia "KAMA MARADONA"Kafunga na mkono