Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Heshima Mbele Wakuu..
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi-NBAA leo imetoa matokeo ya watahiniwa wake waliofanya mitihani mwezi Mei mwaka huu. Niwapongeze wale woote waliofanya vizuri katika matokeo hayo. Pongezi za dhati kabisa ziende kwa mkubwa wangu kwa kufanikiwa kupata CPA. Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa hatua hiyo.
Mum and dad..this is for you..Although you are gone ,we still go on with the primary you have set, Barakallah.
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi-NBAA leo imetoa matokeo ya watahiniwa wake waliofanya mitihani mwezi Mei mwaka huu. Niwapongeze wale woote waliofanya vizuri katika matokeo hayo. Pongezi za dhati kabisa ziende kwa mkubwa wangu kwa kufanikiwa kupata CPA. Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa hatua hiyo.
Mum and dad..this is for you..Although you are gone ,we still go on with the primary you have set, Barakallah.