The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Jana napiga story na mdogo wangu ambae anafanya mitihani ya NBAA ananiambia juzi hapa walifanya mitihani migumu hadi wakaongezewa muda kwenye chumba cha mtihani zaidi ya dakika 30.
Nikajiuliza kwani NBAA kabla hawatoa mitihani yao hua hawaifanyii moderation kuona kama inaweza kufanyika kwa wakati hadi ifike kwenye chumba cha mtihani ndio wajue kua mtihani ni mgumu ama mrefu hauwezi kufanyika ndani ya muda uliopangwa?
Binafsi nategemea hizi profession bodies ziwasaidie wanafunzi zaidi kuliko kuwakomoa. Wakati Dunia inabadilika na kujali zaidi ujuzi na ufahamu sisi bado wataalam wetu akili zao zimeganda kwenye mitihani migumu ya kukomoana kwa kudhani kua ukifanya mtihani mgumu ama swali gumu basi wewe ndie unajua, wewe ndie mwenye akili.
Mimi binafsi ni mhasibu mwenye cpa ingawa si practice uhasibu miaka mingi sana. Sasa I thought NBAA wanabadilika lakini naambiwa bado wana mentality ile ile ya kizamani ya kutunga mitihani ya kukomoana. Nimeambiwa hata ACCA wamebadilika sana lakini wenzetu NBAA bado wana mawazo ya karne iliyopita.
Karne hii ya 21 waajiri wengi hasa wa kimataifa wanataka mtu mwenye skills, kwamba you got the skills to make the job done, not papers.
NBAA badilikeni, boresheni taaluma ya kihasibu, msikae kutunga tu mitihani migumu na kudhani mnawafanya wahasibu wawe competent. Leo hii watu wengi wana CPA lakini hawajui kitu, hii ina maana kwamba mnawakaririsha wafaulu mitihani.
Nikajiuliza kwani NBAA kabla hawatoa mitihani yao hua hawaifanyii moderation kuona kama inaweza kufanyika kwa wakati hadi ifike kwenye chumba cha mtihani ndio wajue kua mtihani ni mgumu ama mrefu hauwezi kufanyika ndani ya muda uliopangwa?
Binafsi nategemea hizi profession bodies ziwasaidie wanafunzi zaidi kuliko kuwakomoa. Wakati Dunia inabadilika na kujali zaidi ujuzi na ufahamu sisi bado wataalam wetu akili zao zimeganda kwenye mitihani migumu ya kukomoana kwa kudhani kua ukifanya mtihani mgumu ama swali gumu basi wewe ndie unajua, wewe ndie mwenye akili.
Mimi binafsi ni mhasibu mwenye cpa ingawa si practice uhasibu miaka mingi sana. Sasa I thought NBAA wanabadilika lakini naambiwa bado wana mentality ile ile ya kizamani ya kutunga mitihani ya kukomoana. Nimeambiwa hata ACCA wamebadilika sana lakini wenzetu NBAA bado wana mawazo ya karne iliyopita.
Karne hii ya 21 waajiri wengi hasa wa kimataifa wanataka mtu mwenye skills, kwamba you got the skills to make the job done, not papers.
NBAA badilikeni, boresheni taaluma ya kihasibu, msikae kutunga tu mitihani migumu na kudhani mnawafanya wahasibu wawe competent. Leo hii watu wengi wana CPA lakini hawajui kitu, hii ina maana kwamba mnawakaririsha wafaulu mitihani.