Hatimaye matokeo ya cpa yaliyochelewa yatolewa ni yale ya Nov 2017, waliopata CPA ni 450, kwa matokeo kamili pitia link hapo chini ,hongera kwa wote waliofanikisha
www.nbaa.go.tz news
www.nbaa.go.tz news
inaonekana wapi? angalia hizo reg no za muda gani utaelewa ni sitting ngapi walikaainaonekana kupata CPA ni rahisi kuliko kufaulu law school