NBA Original Thread: Basketball & Fun

Milwaukee Bucks ni timu underrated sana sasa natabiri privided hawa watu watakua healthy wanatetea ubingwa

Giannis Antetokounmpo
Khris Middleton

Jrue Holiday

Brook Lopez

Hawa Jamaa wana chemistry ya hatari
Sure kabisa.alafu wana advantage ya mwili, pia wote wako defensive...
 
I believe in strengh in numbers

Pretenders wengi sana nowadays

Five straight finals sio easy jamani

Watoto wa Bay area wata bounce back

They are thirsty for the ring

Klay wanna make it really ,he missed balling

Curry have to add another ring to cement his legendary and future hall of fame candidacy.

The bench full of young players they wanna get a taste of being in a real championship team

Majeruhi yatupitie mbali
 
I believe in strengh in numbers

Pretenders wengi sana nowadays

Five straight finals sio easy jamani

Watoto wa Bay area wata bounce back

They are thirsty for the ring

Klay wanna make it really ,he missed balling

Curry have to add another ring to cement his legendary and future hall of fame candidacy.

The bench full of young players they wanna get a taste of being in a real championship team

Majeruhi yatupitie mbali
Kama Jordan Poole ana moto sasa hivi..anagonga 3s kama hana akili.
 
What a match today.

Lakers kafa, huku LeBron James akiweka vikapu 34. GSW wakiongozwa na Curry inawezekana wako serious msimu huuView attachment 1980408
images%20(2).jpg
 
Mchezo wa Basketball unachezwa ndani ya vipnd 4...vnaenda kwa majna ya quarter na kila quarter ina dakika 12

Basketball inachezwa na wachezaji wa 5 kwa kila upande.

Inaruhusiwa kubadil wachezaji wote wa 5 .

Kocha anaruhusiwa kuomba mchezo usimame ili aongee na wachezaji wake (tunaita Time Out)
Kuna gem ninaona wanacheza kila quarter dk 10 hii ikoje au ni kanuni tu wanaamua kuweka wao wenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nba ndio walio introduce basketball duniani..na walianza na 12min per quarte... lakin fiba walivyokuja wakabadilisha hizo rules ..sio tu 12min..hata ile rule ya kumlimit big man kukaa ndani ya D kwa muda mrefu...
Halafu NBA naona kuna vitu tunapishana nao ikiwemo hizo dakika na pia naonaga mchezaj akipokea pasi km anapiga hatua ambazo huku kwetu ukifanya inakuwa umetembea (walking) hata rims zao naona kama ni fupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nyingi ila tutaanza zile basic...

-hauwezi kukimbia au kutembea na ball bila ya kuudunda. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani mpira)

-tofauti na football, mpira wa basket utajulikana uko nje endapo tu utagusa chini nje ya mstari ..ila ukivuka mstari wa nje lakini upo juu hauwesabiki uko nje.

-ukishavuka mstari wa kakati wakati ukiwa na ball..haupaswi kurudi nyuma ya mstari wa kakati ukiwa na mpira. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani)

-ukiugusa mpira na mguu wakati unakaba basi ni kama hesabika kama handball kwenye football.

-Endapo utacheza rough( kugonga ubavu, kugonga mikono) pale mpinzani anaenda kufunga basket..basi itaitwa foul... then mpinzani aliefanyia rough atarusha mitupio miwili. Ila kama ulimfanyia rough na akajitahidi akafunga ..then mpinzani atapanta na foul ila atarusha mtupio mmoja.


Etc......
Mchezaji akifanyiwa kosa(foul) wakati anajaribu kufunga(in the act of shooting) atapewa mitupo huru(Free throws) mi3/mi2 kulingana na eneo alilokuwa wakati akijaribu kufunga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nyingi ila tutaanza zile basic...

-hauwezi kukimbia au kutembea na ball bila ya kuudunda. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani mpira)

-tofauti na football, mpira wa basket utajulikana uko nje endapo tu utagusa chini nje ya mstari ..ila ukivuka mstari wa nje lakini upo juu hauwesabiki uko nje.

-ukishavuka mstari wa kakati wakati ukiwa na ball..haupaswi kurudi nyuma ya mstari wa kakati ukiwa na mpira. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani)

-ukiugusa mpira na mguu wakati unakaba basi ni kama hesabika kama handball kwenye football.

-Endapo utacheza rough( kugonga ubavu, kugonga mikono) pale mpinzani anaenda kufunga basket..basi itaitwa foul... then mpinzani aliefanyia rough atarusha mitupio miwili. Ila kama ulimfanyia rough na akajitahidi akafunga ..then mpinzani atapanta na foul ila atarusha mtupio mmoja.


Etc......
Atapewa mtupo huru m1 kama pamoja na kufanyiwa kosa bado alifanikiwa kupata goli.
Yule mchezaji aliyefanya kosa atarekodiwa kwenye karatasi ya magori(score sheet). Kosa hili litakuwa kwanza ni lake (personal foul) lakini pia litakuwa kwa timu yake( team foul)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom