NBA Original Thread: Basketball & Fun

Aah Team Kevin Durant n James Harden midevu wapo vizuri Sana tatizo huwaga majeruhi
Hao Dub Nation sidhani Kama watafika ata finals
Watch out mzee dub nation wame mature sana na young players wao

Hii misimu miwili ijayo watavuna pa kubwa trust me

Hao masupert team yamejaa mavetersn majeruhi nje nje
 
RBA IAA....Basketball life
20211016_183536.jpg
 
Simuungi mkono ni mpuuzi huyo,. Yaani huko kwenye luninga za vipindi mbali mbali vya michezo wanavyomzodoa na kumshangaa na kumshambulia kwa uamuzi wake ni balaa. Juzi kadai yeye hapingi chanjo ila ni msemaji wa voice less people wanaopinga chanjo. Inadaiwa akiamua kutochanja anaweza kupoteza $200 millions lakini Durant kasema hiyo issue ya Kyrie itakuwa solved very soon. Tusubiri.


@BAK vp we unaonaje ...irving yuko sahihi au ni kosa anafanya kugomea chanjo...
 
Ni nyingi ila tutaanza zile basic...

-hauwezi kukimbia au kutembea na ball bila ya kuudunda. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani mpira)

-tofauti na football, mpira wa basket utajulikana uko nje endapo tu utagusa chini nje ya mstari ..ila ukivuka mstari wa nje lakini upo juu hauwesabiki uko nje.

-ukishavuka mstari wa kakati wakati ukiwa na ball..haupaswi kurudi nyuma ya mstari wa kakati ukiwa na mpira. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani)

-ukiugusa mpira na mguu wakati unakaba basi ni kama hesabika kama handball kwenye football.

-Endapo utacheza rough( kugonga ubavu, kugonga mikono) pale mpinzani anaenda kufunga basket..basi itaitwa foul... then mpinzani aliefanyia rough atarusha mitupio miwili. Ila kama ulimfanyia rough na akajitahidi akafunga ..then mpinzani atapanta na foul ila atarusha mtupio mmoja.


Etc......
Safi mkuu
 
Mchezo wa Basketball unachezwa ndani ya vipnd 4...vnaenda kwa majna ya quarter na kila quarter ina dakika 12

Basketball inachezwa na wachezaji wa 5 kwa kila upande.

Inaruhusiwa kubadil wachezaji wote wa 5 .

Kocha anaruhusiwa kuomba mchezo usimame ili aongee na wachezaji wake (tunaita Time Out)
Time out zinakuwa sita je ni kwa kila timu au?
 
Back
Top Bottom