NBA Finals..L.A.Lakers Versus Orlando Magic.

t was not abt being poor kwa both teams bro....lakers had jus to defend their lead so for them u cant say they were havin a bad qtr..if magic wangebring game juu, trust me lakers wasingepumzika vile!

game 1 z over but i bliv hii series ni ndefu mno t wont jus end at game 4 or 5

Mazee nilivoona ni kwamba both teams were sloppy in passing, holding the ball and shooting, na sio kwamba LAL walikuwa wana-defend. Kwenye last 2-3 mins timu zote mbili zime-score many points nadhani kuliko kwenye dakika za mwanzo zote zilizotangulia ktk Q4.

All in all, Magic wamenidissappoint sana. Turkoglu zii, Pietrus zii (huyu ameshindwa kumzuia Kobe kabisa..), Howard zii, na huyu Nelson ndio kabisaaa. Magic they have to improve on their defense. Shooting yao leo ilikuwa very poor, and Kobe alisha-sense kuwa leo ni siku yake, hivyo akaanza mapema biashara ingawa wengine nao wali-raise steki japo si kihivyo. LAL wamedefend vizuri na kuchukua chances walizopata.

Nways tusubirie G2 labda na G3 kwenye home court ya Magic tupime uelekeo.

Cheers.
 
NBA decides to fine MVP James after all

LOS ANGELES (AFP) - National Basketball Association commissioner David Stern did an about face and slapped LeBron James with a 25,000-dollar fine for refusing to shake hands with rivals and snubbing the media.
The NBA's 2009 Most Valuable Player left the building in a huff on Saturday following the Cavaliers' 103-90 season-ending Eastern Conference final playoff loss to the Orlando Magic, James refusing to clasp hands with Orlando players.
The move raised questions about sportsmanship and, after announcing he would not fine James, Stern had a change of heart.
"I said I wasn't planning to fine him and then I thought about it a little more," Stern said. "The more I thought about it, the more I realized there were two things I had to deal with -- the media and the failure to congratulate Orlando.
"It was inappropriate for me to give someone a pass here."
Stern said he called James personally to inform him of the fine and inquire about his health after undergoing surgery on Tuesday. James spent five hours in surgery having a benign growth removed from his jaw.
Stern said James, who had the condition for several months but decided to wait until the season was over to have the operation, is recovering well.
"He understands why it was necessary for me to fine him 25,000 dollars," Stern said.
Tissue was removed from James' partoid gland, which causes salivation, in a procedure that if often time consuming because of nerves and blood vessels in the area.
"I wish him a speedy recovery," Stern said.
 
NBA decides to fine MVP James after all

LOS ANGELES (AFP) - National Basketball Association commissioner David Stern did an about face and slapped LeBron James with a 25,000-dollar fine for refusing to shake hands with rivals and snubbing the media.
The NBA's 2009 Most Valuable Player left the building in a huff on Saturday following the Cavaliers' 103-90 season-ending Eastern Conference final playoff loss to the Orlando Magic, James refusing to clasp hands with Orlando players.
The move raised questions about sportsmanship and, after announcing he would not fine James, Stern had a change of heart.
"I said I wasn't planning to fine him and then I thought about it a little more," Stern said. "The more I thought about it, the more I realized there were two things I had to deal with -- the media and the failure to congratulate Orlando.
"It was inappropriate for me to give someone a pass here."
Stern said he called James personally to inform him of the fine and inquire about his health after undergoing surgery on Tuesday. James spent five hours in surgery having a benign growth removed from his jaw.
Stern said James, who had the condition for several months but decided to wait until the season was over to have the operation, is recovering well.
"He understands why it was necessary for me to fine him 25,000 dollars," Stern said.
Tissue was removed from James' partoid gland, which causes salivation, in a procedure that if often time consuming because of nerves and blood vessels in the area.
"I wish him a speedy recovery," Stern said.

Belo,

..habari kama hizi zinadhihirisha kwamba NBA wanam-babysit King Lebron James.

..sidhani kama mchezaji mwingine angefanya upuuzi kama ule wangembembeleza kwa kumpigia simu kabla hawajamlima faini.

..halafu hii si mara ya kwanza kwa Lebron kufanya mambo ya ajabu-ajabu. kuna siku aliondoka kwenye bench kabla mchezo haujaisha kwasababu Cleveland walikuwa blownout.

NB:

..baada ya kuangalia game ya Magic vs Lakers, na jinsi Kobe alivyokuwa akiwasambaratisha walinzi wa Magics, bado kuna mtu anaamini Lebron is better than Kobe?
 
Belo,

..habari kama hizi zinadhihirisha kwamba NBA wanam-babysit King Lebron James.

..sidhani kama mchezaji mwingine angefanya upuuzi kama ule wangembembeleza kwa kumpigia simu kabla hawajamlima faini.

..halafu hii si mara ya kwanza kwa Lebron kufanya mambo ya ajabu-ajabu. kuna siku aliondoka kwenye bench kabla mchezo haujaisha kwasababu Cleveland walikuwa blownout.

NB:

..baada ya kuangalia game ya Magic vs Lakers, na jinsi Kobe alivyokuwa akiwasambaratisha walinzi wa Magics, bado kuna mtu anaamini Lebron is better than Kobe?

Mliona lakini ile face ya Kobe?
 
Nyani Ngabu said:
Mliona lakini ile face ya Kobe?

NN,

..there was one tough shot that Kobe made over Petreus. ni almost sawasawa na ile aliyompiga Lebron ktk game ya mwisho ya Cleveland vs Lakers.

..naona game liliwakataa Magics. nategemea they will come out stronger in the next game.

..nadhani hii series inakwenda 2-3-2, kwa msingi huo kuna game 3 ambazo zitachezwa Orland na kwa hiyo Lakers wajizatiti washinde hizi game 2 za kwanza.
 
Kuongea na waandishi wa habari ni mujibu wa mkataba wa NBA.

Lakini kulazimishwa kupongeza timu pinzani sijawahi kusikia.

Na kwa nini Stern peke yake ndio ana run maamuzi yote kama fast food joint ya familia yake? Hivi hakuna ka discipline committee kakae kaamue, badala ya kuwaachia the Stern's and the Roger Godell's of America? So much for a "beacon of democracy." NBA wangemwondolea Stern haya maguvu ingekuwa poa sana.
 
Kuongea na waandishi wa habari ni mujibu wa mkataba wa NBA.

Lakini kulazimishwa kupongeza timu pinzani sijawahi kusikia.

Na kwa nini Stern peke yake ndio ana run maamuzi yote kama fast food joint ya familia yake? Hivi hakuna ka discipline committee kakae kaamue, badala ya kuwaachia the Stern's and the Roger Godell's of America? So much for a "beacon of democracy." NBA wangemwondolea Stern haya maguvu ingekuwa poa sana.

Kwa nini Stern?

They have those committees, but the owners believe in him to make right decisions by himself or thru advisors. I believe, it's always good to have that one person to take the responsibilities (credit or blames)....and our country is missing that!
 
Kuongea na waandishi wa habari ni mujibu wa mkataba wa NBA.

Lakini kulazimishwa kupongeza timu pinzani sijawahi kusikia.

Na kwa nini Stern peke yake ndio ana run maamuzi yote kama fast food joint ya familia yake? Hivi hakuna ka discipline committee kakae kaamue, badala ya kuwaachia the Stern's and the Roger Godell's of America? So much for a "beacon of democracy." NBA wangemwondolea Stern haya maguvu ingekuwa poa sana.

- NBA ni shirika la michezo na la kibepari pia, linaongozwa na mtu mmoja tu Stern sio kila mtu mpaka wajumbe wa kamati kuu, mvurugano hakuna kinachoeleweka, owners wa NBA walikaa chini na kumchagua a strong man wa kuwaongoza kwa faida yao wenyewe, bila Stern hii ligi ingekua hoi kama ligi ya ABA, hujui yule Thomas alivyovuruga kule na kuiepeleka to the ground?

- Hizi ndio tabia za kibepari uwajibikaji anakabidhiwa mtu mmoja, asipoweza anakimbizwa mara moja hawasubiri kumuhamishia idara nyingine.

Respect.

FMEs!
 
Lakers wanadifend vibaya mno..Magic naona wanashindwa ku-match with kind of defense toka G1. Naona mambo yatawaendea kombo kama hawatatafuta dawa mapema. Q2 1.09 6 pts game to LAL
 
Turkoglu kwenye finals so far ameshindwa ku-raise game yake. Half time 40-35 to LAL
 
Magic wanajitahidi at least to have a fighting chance.
54 - 51 in Lakers favor.
 
Back
Top Bottom