navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 199
- 266
Mkuu huna tofauti namm, Niko mkoa x Kuna sehemu nimepata ajira..mpaka Sasa yapata miezi Kama mitano...Wakuu Habari za Jioni.
Kiuhalisia Zaidi ya Miaka 17 nimekuwa mtu wa kusoma na sijawahi kuyaexperince zaidi maisha ya mtaani zaidi ya likizo.
Lengo La kuja Humu ndani wakui tangu nimemaliza chuo nimekuwa sipi sawa kabisa yaani mpaka nashindwa kujielewa naelekea wapi juu ya maisha haya.
1..Nimekuwa mtu wa kuogopa watu kupita maelezo yaani ni mtu wa kujifungia ndani yaani Hata kanisani nashindwa kwenda tena na Hata kumeet na watu siwezi kabisa.
2.Maisha yangu ya mahusiano yamekuwa ya ovyo siko na interest ya kupenda tena maana nimejikuta nafeel happy nikiwa alone kuliko vyovyote vile.
3.Nikianzisha jambo simalizi imagine kuna bussiness nilihitaji nianze nikawa nashindwa kuanza mpaka mtu mmoja akaniinfluence ndo nikajikuta ninaenda kuchukua product lakini bado sijaanza hata kufanya.
4..Ninakuwa mtu mbaya mpaka ninajishangaa yaani Sijui nitakuwaje huko mbele.
Msaada Hata wa Ushauri juu ya Haya Maana yale niliyoyatarajia hayajawa vile nilivyotarajia.
Nimekua mtu wa kushinda ndani Kila ninapotoka kazinii....ninaogopa kuchanganyana na wadau kitaa....
Mida yangu yakutoka labda wakati wa jioni ndio nakua comfortable Ila mchana nikiwa natembea nahisi Kama watu wananiangalia mm tu...
Najaribu kujiforce kuchanganyana lkn nashindwa....
Huwezi amini mpaka mda huu nipo Ila cna rafki hata mmoja tofauti na wale tunafanya kazi pamoja...
Natamani sana kuwa mtu wa watu ka wengine Ila cjui nifanyaje ili niweee

