Nayaonea Huruma Maisha yangu

Nayaonea Huruma Maisha yangu

Mkuu nikuulize?,umesema umesoma miaka 17 hii ni kumaanisha ni kuanzia primary mpaka chuo,vipe umesoma seminary labda?.
Tuseme 16 kuanzia primary , , o level , , A level hadi chuo yaani nimekuwa mtu wa shule kwa sasa mwaka jana ndo nimeingia mtaani yaani sijazoea Maisha ya kuwa idle kabisa .
 
Dont worry mkuu, you are not alone , vipi draft unaidea nalo ? , i mean unaweza kucheza mchezo wa draft ?. If the answer yes, hebu jaribu kutafuta hii App inaitwa online checker , wenzio tumejificha huku , just image i can play draft with different people around the whole , good enough basing on my skills, i have managed to get alot of friend from different angles of the world to chart with while i' m playing it .

Hivyo kwasasa sina haja yakwenda vijiweni kucheza coz sipend kuonana na watu plus corona na mambo mengine mengine mengi hii app imekuwa msaada kwangu kuliko unavyofikiri.

Ifike mahari tujikubali vile tulivyo kuwa hatuna uwezo mkubwa wa kusocilize na watu , hivyo si vibaya tukajaribu kujitengenezea dunia yetu ya kufikirika japo kujipa furaha kidogo.
Asante sana Mkuu...
 
Screenshot_20210127-222218.jpg
 
Wakuu Habari za Jioni.

Kiuhalisia Zaidi ya Miaka 17 nimekuwa mtu wa kusoma na sijawahi kuyaexperince zaidi maisha ya mtaani zaidi ya likizo.

Lengo La kuja Humu ndani wakui tangu nimemaliza chuo nimekuwa sipi sawa kabisa yaani mpaka nashindwa kujielewa naelekea wapi juu ya maisha haya.

1..Nimekuwa mtu wa kuogopa watu kupita maelezo yaani ni mtu wa kujifungia ndani yaani Hata kanisani nashindwa kwenda tena na Hata kumeet na watu siwezi kabisa.

2.Maisha yangu ya mahusiano yamekuwa ya ovyo siko na interest ya kupenda tena maana nimejikuta nafeel happy nikiwa alone kuliko vyovyote vile.

3.Nikianzisha jambo simalizi imagine kuna bussiness nilihitaji nianze nikawa nashindwa kuanza mpaka mtu mmoja akaniinfluence ndo nikajikuta ninaenda kuchukua product lakini bado sijaanza hata kufanya.

4..Ninakuwa mtu mbaya mpaka ninajishangaa yaani Sijui nitakuwaje huko mbele.

Msaada Hata wa Ushauri juu ya Haya Maana yale niliyoyatarajia hayajawa vile nilivyotarajia.
Watakuja kusema wewe sijui introvert sijui nini ngoja watoke kwenye mpira waje.
 
Jifunze kuwa unatoka toka nyumbani unatembea tembea mtaani na wakati mwingine unakwenda kwenye viwanja vya michezo vya mtaani kwako ,punguza kuangalia movie.
Asante sana Mkuu.
 
Pole Sana duh Sasa unaishije jmn hata ukienda sehemu za chakula ujichanganyi na watu!! Yan najiuliza maswali mengi we unahisi shida n nn Hadi kanisani unaogopaje yani kitu gani kinakutisha labda?
Unajua am church Boy btw sasa mara nyingi kanisanj kuna ile hali ya kuulizana upo wapi unafanya nini!? Ulikuwa wapi!? Mara mbona hauonekani sikuizi!? Maswali mengi kama hayo uwa naonaga very difficult kuyajibu na uwa naona kama kuna watu baadhi wananifuatilia maisha yangu
 
Nina id nyingi sana mkuu mwanzo nilipoanzisha hii ilikuwa katika muundo wa utani na ndio maana Hata jina lipo hivyo ujinga baada ya hapo angalia thread zangu tatu za mwisho zimekuwa katika mfumo wa userious tofaut na lengo la mwanzo la id
Basi na huu kwa kuwa umeanzisha na ID hiyo hiyo nao ni ujinga tu, tuupuuze
 
Tuseme 16 kuanzia primary , , o level , , A level hadi chuo yaani nimekuwa mtu wa shule kwa sasa mwaka jana ndo nimeingia mtaani yaani sijazoea Maisha ya kuwa idle kabisa .
OK nkadhani ulisoma seminary mkuu,maana wasomi Wa seminary wakimalzaga chuo na wakaukacha upadri wakija mtaani wanakuwaga mandezi sana.
 
Wakuu Habari za Jioni.

Kiuhalisia Zaidi ya Miaka 17 nimekuwa mtu wa kusoma na sijawahi kuyaexperince zaidi maisha ya mtaani zaidi ya likizo.

Lengo La kuja Humu ndani wakui tangu nimemaliza chuo nimekuwa sipi sawa kabisa yaani mpaka nashindwa kujielewa naelekea wapi juu ya maisha haya.

1..Nimekuwa mtu wa kuogopa watu kupita maelezo yaani ni mtu wa kujifungia ndani yaani Hata kanisani nashindwa kwenda tena na Hata kumeet na watu siwezi kabisa.

2.Maisha yangu ya mahusiano yamekuwa ya ovyo siko na interest ya kupenda tena maana nimejikuta nafeel happy nikiwa alone kuliko vyovyote vile.

3.Nikianzisha jambo simalizi imagine kuna bussiness nilihitaji nianze nikawa nashindwa kuanza mpaka mtu mmoja akaniinfluence ndo nikajikuta ninaenda kuchukua product lakini bado sijaanza hata kufanya.

4..Ninakuwa mtu mbaya mpaka ninajishangaa yaani Sijui nitakuwaje huko mbele.

Msaada Hata wa Ushauri juu ya Haya Maana yale niliyoyatarajia hayajawa vile nilivyotarajia.
Elezea namba 4
 
Back
Top Bottom