Nayaonea Huruma Maisha yangu

Nayaonea Huruma Maisha yangu

Twende taratibu unahisi kwa nini unaogopa ku meet na watu kijana
 
Twende taratibu unahisi kwa nini unaogopa ku meet na watu kijana
Nimekuwa na expectation nyingi, Maisha Hakuna Hata moja nimefanikiwa..nyumbani Maisha magumu sana Yaani nikiwaga Home ndo nachukia kabisa.
 
Nimekuwa na expectation nyingi Maisha Hakuna Hata moja nimefanikiwa..nyumbani Maisha magumu sana Yaani nikiwaga Hom ndo nachukia kabisa
Jifunze kuwa unatoka toka nyumbani unatembea tembea mtaani na wakati mwingine unakwenda kwenye viwanja vya michezo vya mtaani kwako, punguza kuangalia movie.
 
Nimekuwa na matarajio mengi maishani na sijaweza kuyafikia hata na wala picha sina
Sasa hapo ndio unazidi kujiharibia kabisa eti yaani unaogopa watu kukuona ukiwa huna mchongo, hebu jitahidi japo kuchanganyikana na watu maana ndio wana kila kitu unachokitaka wewe.
 
Dont worry mkuu, you are not alone, vipi draft una idea nalo? I mean unaweza kucheza mchezo wa draft?. If the answer yes, hebu jaribu kutafuta hii App inaitwa online checker, wenzio tumejificha huku, just image i can play draft with different people around the whole, good enough basing on my skills, i have managed to get alot of friend from different angles of the world to chart with while i' m playing it .

Hivyo kwasasa sina haja ya kwenda vijiweni kucheza coz sipendi kuonana na watu plus corona na mambo mengine mengine mengi hii app imekuwa msaada kwangu kuliko unavyofikiri.

Ifike mahali tujikubali vile tulivyo kuwa hatuna uwezo mkubwa wa kusocilize na watu, hivyo si vibaya tukajaribu kujitengenezea dunia yetu ya kufikirika japo kujipa furaha kidogo.
 
Ujinga mtupu!
Miaka 17 darasani si mchezo, una uraibu na kusoma... baada ya chuo hukupaswa kuacha ghafla kujisomea japo magazeti!
 
Mkuu nikuulize? Umesema umesoma miaka 17 hii ni kumaanisha ni kuanzia primary mpaka chuo, vipi umesoma seminary labda?.
 
Pole Sana duh Sasa unaishije jmn hata ukienda sehemu za chakula ujichanganyi na watu!! Yan najiuliza maswali mengi we unahisi shida n nn Hadi kanisani unaogopaje yani kitu gani kinakutisha labda?
 
Badilisha jina mkuu.....wat eat u is on your clothes.....wagogo wanasema. Kikulacho kinguoni mwako
 
Back
Top Bottom