sijamla nilipiga naye story tuinamaana ulimla mke wangu?
ahaaa!!
niambie sasa..
he deserved it
si mkeo alitamka hadharani
ooooh eti ameamua kua na Bishanga pamoja na Excellent
kisa we umemtoroka hizo siku ngapi tu,acha kabisa
mengine mwambie Lady doctor kama anakumbuka ukwambie!!
Wamekufanya nini?si hawa watu....!
Passion Lady unalipwa mbon umbea
hasutwi mtu hapa
kwani uongo?mi nawahisha habari tu!!
inamaana ulimla mke wangu?
hasutwi mtu hapa
kwani uongo?mi nawahisha habari tu!!
si mkeo alitamka hadharani
ooooh eti ameamua kua na Bishanga pamoja na Excellent
kisa we umemtoroka hizo siku ngapi tu,acha kabisa
mengine mwambie Lady doctor kama anakumbuka ukwambie!!
asante!!!! Kuaga muhimu shem wangu!
Heaven on earth yaani mimi kabisa?kwani mke wa kiwatengu anaitwa nani kwanzaExcellent ila si wewe nilikuona ukimwambia aje kwako atafaidi sana
au ile siku nilisikia vibaya!!!!!!!!!!
Heaven on earth yaani mimi kabisa?kwani mke wa kiwatengu anaitwa nani kwanza
halafu sitako bifu na figganigga
hahaaa hilo unajifanya humjui mke wa kiwatengu lol
my wii hivi UNDENIABLE umenionea wapi!!!!!!!
mara ya mwisho alisema anapatikana jukwaa la Siasa ila mbona simuoni kabisa!!!!!!!!
ukimuona umpe salam zangu
nimemwona MMU jana...
kiwatengu I miss you too,ukaondoka hata bila kuaga majiranianamjua sana tu! ila kashanipa hali halisi! nothing to fear...
Heaven on earth i miss u...