ricktz
Member
- Jun 25, 2016
- 20
- 11
Nay wa Mitego anauanza mwaka 2018 kwa kupitia mtihani huu mkubwa sana kwake akiwa kama msanii. Hii ni baada ya wadukuzi kuweza kuichukua akaunti yake ya [HASHTAG]#YouTube[/HASHTAG] na kufuta video zake zote ambazo aliziweka kwenye akaunti yake hiyo, yaani video zote ambazo ameziweka kwenye akaunti yake toka aanza muziki zimefutwa.
Mr Nay ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter na kuandika kuwa
. “Kwa miaka zaidi ya 17 nahangaika na Muziki anatokea mjinga mmoja anafuta video zangu YouTube siwezi kumsamehe hata kidogo”.
.
Hili ni pigo kubwa sana kwa Nay haswa ukizingatia ndiyo mwaka unaanza na anakutana na janga kama hili. Kwa upande mwingine inasadikika kuwa hata akaunti yake ya Instagram imedukuliwa pia.
.
Usiache kutembelea website yako pendwa ya rickmediatz kwa habari za [HASHTAG]#Burudani[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Michezo[/HASHTAG] kila siku siku.
.
[HASHTAG]#RickMedia[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TanzaniaLeadingEntertainment[/HASHTAG]&CelebrityNewsChamber.
Mr Nay ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter na kuandika kuwa
. “Kwa miaka zaidi ya 17 nahangaika na Muziki anatokea mjinga mmoja anafuta video zangu YouTube siwezi kumsamehe hata kidogo”.
.
Hili ni pigo kubwa sana kwa Nay haswa ukizingatia ndiyo mwaka unaanza na anakutana na janga kama hili. Kwa upande mwingine inasadikika kuwa hata akaunti yake ya Instagram imedukuliwa pia.
.
Usiache kutembelea website yako pendwa ya rickmediatz kwa habari za [HASHTAG]#Burudani[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Michezo[/HASHTAG] kila siku siku.
.
[HASHTAG]#RickMedia[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TanzaniaLeadingEntertainment[/HASHTAG]&CelebrityNewsChamber.