Ni bora kunyamaza kuliko kubiishana na fool soma Proverbs utaelewa. Siku nyingine try to control ur anger unaweza pata murder case kuna watu unawaona wazima kumbe wanatembea na magonjwa yao ukimpiga kibao tu amekufa case itabaki kwako.Maandiko yanasema pia huwe kimya kama mienendo yao ikiwa si sahihi ?
Ni bora kunyamaza kuliko kubiishana na fool soma Proverbs utaelewa. Siku nyingine try to control ur anger unaweza pata murder case kuna watu unawaona wazima kumbe wanatembea na magonjwa yao ukimpiga kibao tu amekufa case itabaki kwako.
Wewe naona unataka kubishana tayar una majibu kichwan mwako ambayo hutaki yakabadilishwa,wewe yatakiwa mwanamke akikuletea mdomo mdomo mtandike makofi jamaa ake nae akija mtandike makofi,askari wakija nao tandika makofi...
Yani unawaza dogo! acha hayo bwana.Hapo ndo unamfundisha kuwa u must be strong ingawa kupuuzia ni jibu zuri.
Me mwenyewe nahisi uzalendo utanishinda hapa coz kuna ka-beki tatu naona kameanza kunitolea maneno yasiyo na adabu,na hii imeanza baada ya kuanza kumwo binti mzuri anaingia sn mwangu na anakuwa anajua kabisa napiga kazi.Sasa kataumia siku nikiamua kukazaba.
Mkuu yani usiumize kichwa,hapo heshima tayari.
ilikuw trafic anatak mkwanja mrefu hasa binti akampa ya kunywa soda atauchie akidai hana pesa ingine, akaambiwa mwambie mwenzio huyo aongezee.
Binti akajibu, huyu mdogo wangu hana bana.
Ni vema mkuu. Ila kuna baadhi ya mambo una paswa ku QN kama yakiwa si sawa.
mh! ila na sisi wanawake tunaboa! kwa midomo...kha! ofcz haukufanya poa kumpiga bt i understand, si kila mtu mwenye neema ya kuvumilia ushuzi. Sltn ya kufanya, tafuta nyumba usepe ila kama hauna uwezo wa kupanga nyumba nzima, then panga yenye bachelors tu, coz kuna wenye nyumba wengi hawapendi kupangisha familia. Au tafuta zile nyumba zenye kama ki-servant quarter hv kinachojitegemea kwa vitu vya msingi, ambapo utakaa hapo na kutulia. Shirikisha madalali ili kuharakisha zoezi
-kuh wewe kuonekana kama mdogo kiumri, inategemea na mavazi yako na jinsi unavyo-behave, watu unaoambatana nao nk. So fanyia kazi hayo maeneo.
-Kuh mdogo wako- umesema naye hupata kero za huyo mmama, so hawezi kushangaa kwa ulichofanya ILA umweleze kuwa umekosea na hutegemei naye arudie hilo kosa, ukimweleza complication ambazo zaweza kutokea km kupelekana serikali za mitaa au polisi nk.
Yaani hadi hapa bado sikuelewi................
Umesema vema sana, mkuu.
Ila hapo kwenye mavazi nipo sawa navaa kwa kujitambua sana, nipo smart way navyo behave, ila i think naonekan younger than my age
Wewe naona unataka kubishana tayar una majibu kichwan mwako ambayo hutaki yakabadilishwa,wewe yatakiwa mwanamke akikuletea mdomo mdomo mtandike makofi jamaa ake nae akija mtandike makofi,askari wakija nao tandika makofi...