elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
natafuta jinsi ya kuweza kuwasiliana directly na huyu mama kwasababu nina project nataka fanya inahusiana na mazingira. Sasa nahitaji msaada wake na nihisi nikijaribu wasiliana naye kupitia njia za wizara nadhan ujumbe wangu unaweza usimfikie. kama kuna mtu mwenye email au namba yake ya simu tafadhali naomba anisaidie.