mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,334
- 12,466
Habari zenu wadau
Hivi naweza kupata Storage yenye ukubwa wa 100Tb kwa shingapi?
Je itakuwa ni disk moja au mengi?
Je maximum hard disk ni kiasi gani?
Je kwa Bongo yanapatikana?
Hivi naweza kupata Storage yenye ukubwa wa 100Tb kwa shingapi?
Je itakuwa ni disk moja au mengi?
Je maximum hard disk ni kiasi gani?
Je kwa Bongo yanapatikana?