Nawezaje kupata mkopo wa milion 1.5?

Nawezaje kupata mkopo wa milion 1.5?

Nataka kuendeleza biashara yangu ya studio. Plan ni kununua camera na printer machine.
Hiyo hela itaishia kwenye Camera tu tena kwa kujitahidi sana Mkuu. Ila kama unahitaji huo mkopo nakushauri kautafute kwa mtu binafsi na sio taasisi maana ukizingua hawatacheka na wewe.
 
Back
Top Bottom