Imekataa ukiwa umekwisha pakua DSTV Now?Ndio nimetumia hola vpn mzee
VPN ianze kuwa on, kisha fuata DStv Nowhapana nilikuwa natumia pc
Nguvu ya VPN inaweza kuwa sababu!Nimejaribu mzee nimechemka, nafanikiwa hadi kusign in ila kwenye kuplay video naletewa ujumbe kuwa siwezi kupata huduma hiyo sababu nipo nje ya eneo
Pia jaribu South Africa destination.Nimejaribu mzee nimechemka, nafanikiwa hadi kusign in ila kwenye kuplay video naletewa ujumbe kuwa siwezi kupata huduma hiyo sababu nipo nje ya eneo
Pia kuna suala la taifa husika kufunga huduma fulani (Ndani ya huduma itolewayo) kwa makubaliano na mwenye huduma.imegoma mzee app nyingine program nyingine zote zinakubali ila dstv tu
Ukiwa ughaibuni kuna channels huzipati sky au canal+ (mfano tu hususani za kwetu)Upo ughaubuni and u still want a DSTV??