mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Wadau naomba mwenye kunisaidia kuweza kupata mawasiliano na waziri mkubwa anisaidie pls, shukrani wadau
Waziri Mkuu wa nchni gani? Rwanda, burundi, [...] au Tanzania?
Kama ni wa Tanzania angalia web ya Serikali at URL http://www.pmo.go.tz/
hebu cheki na Kupeng'e
Mcheki na Maji mshindo pia!
Tumia kitabu cha orodha za simu (TTCL) utapata namna ya kuwasiliana naye.Wadau naomba mwenye kunisaidia kuweza kupata mawasiliano na waziri mkubwa anisaidie pls, shukrani wadau
hapo kwenye red mkuu, hiyo kitu bado inatumika?unataka namba yake ya simu au? Coz kama ni ofisi zinafahamika zilipo kama ni p.o.box hta kwenye web ya pm utaipata