Nawezaje kuongeza urefu wa kimo?

Nawezaje kuongeza urefu wa kimo?

Best ebu kuwa mpole kwanza nyie watu wafupi mnafaida nyingi sana maishani ila hamjiamini,kwanza kama ni usiku ni rahisi kumdanganya konda wewe denti japo unfamilia
Hivyo mungu akupe nini we mwana wa adamu
 
Vp urefu wa wanyama nao unaweza kuongeza? kuku, mbuzi, mbwa nk
 
Nipe mm hiyo kazi .usivae pichu tu nakuvizia nakuwa nakupifa ndole kila nikikuona utakaporuka kwa mshuto urefu utaongezeka tu baada ya miezi miwili ya zoezi la ndole.
Nasubir contract na ndole langu hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom