omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,686
Wakuu habari zenu,
Natumai mko powa sana na harakati za maisha ya hapa na pale kukimbizana huku na kule pia kinyonge sana na kwa masikitiko tunaendelea kulia juu ya msiba wa kijana mwenzetu.
Ok niende moja kwa moja kwenye mada, kuongeza height(urefu) binadamu wa kawaida mwanaume una urefu 156cm ambayo ni sawa na 5foot hiyo ni wastani akiwa chini ya hapo ni mfupi mwanamke 150cm sawa na 4.9foot.
Binafsi nina 154cm nawezaje ongeza height yangu nifike average?
Natanguliza shukrani.
Natumai mko powa sana na harakati za maisha ya hapa na pale kukimbizana huku na kule pia kinyonge sana na kwa masikitiko tunaendelea kulia juu ya msiba wa kijana mwenzetu.
Ok niende moja kwa moja kwenye mada, kuongeza height(urefu) binadamu wa kawaida mwanaume una urefu 156cm ambayo ni sawa na 5foot hiyo ni wastani akiwa chini ya hapo ni mfupi mwanamke 150cm sawa na 4.9foot.
Binafsi nina 154cm nawezaje ongeza height yangu nifike average?
Natanguliza shukrani.
