Nawezaje kumuacha???

Shughuli yote ipo hapo kwenye rangi. Wote mnapendana sana si ajabu mnapendana kuliko mnavyowapenda wenzenu wa kwenye ndoa, ndiyo sababu miaka mitano/sita sasa bado mko pamoja mnafanya yenu hata angekwambia ubebe mimba yake ndani ya ndoa sidhani kama ingekuwa shida kwako. Waswahili hawakukosea waliposema, "Kipenda roho hula nyama kavu/mbichi"

 
Shetani mkubwa wewe ulaaniwe, nyie ndio mnatufanya tusioe wanawake tunaokutana ukubwani bz wanakuwa washafanya mengi, wewe endelea naye tu hata ukitaka MPE Tigo ila wewe ni malaya mbwa Mkubwa wewe IPO siku utaumbuka
Limalaya hiloo....ni kuliacha tu
 
Your stupid is what yr are serving!
 
Wenye uzoefu na hili watamhurumia huyu mtoa mada badala ya kumhukumu na kumtolea maneno makali kana kwamba ni mkosaji wa kiwango cha Phd. Wanaume na wanawake walio katika ndoa mara nyingi huwa tunashindwa kukaba vizuri maeneo yetu kiasi kwamba tunaacha mwanya wa EXs waendelee kuwa sehemu ya maisha yetu. Mwanaume humtimizii mkeo mahitaji ya kiuchumi, kimwili, na hata kijamii na kisaikolojia. Si kwa sababu umejitahidi kwa uwezo wako wote noo, bali kwa kutoona haja au umuhimu wa kutimiza wajibu wako. Wanawake nao wameshindwa kutimiza wajibu wao kwa waume zao kwa kiwango cha kuwafanya wahitaji kuendelea kupata msaada wa ma ex wao. Ni hatari na haifai lakini wanandoa wengi hujikuta kwenye hii dilemma!!
 
Madhara ya Jamii/family kufosi muoane watu wa aina flani mfano dini moja,kabila,wenye kazi, kipato nk...mkipishana dini tu family zingine hazitaki hivyo mtu anajikuta anaoa/olewa na mtu asiempenda
 
Ndoa na moyo wa binadamu una siri kubwa sana....usipende kuchukua maamuzi ukiwa na hasira...unaemuoa sio malaika,she's not perfect au mnadhani tukisema nobody's perfect tunamaanisha kasoro zipi,ni kama hizii,utasolve vipi,ukiua unaamkia jela for life sio suluhu
 
Hizi ndoa hizi, ndo mana muda mwingine natamani dini yangu waruhusu kuacha na kuoa mwingine, Ingesaidia.
 
Well said,makatazo ya familia wanapochagua uoe au uolewe na yupi na preshaaa za kuoa na kuolewa ukioneka upo upo tu muda mrefu ndo yanafikisha watu hapo..
 
siku utakayofumaniwa,utaacha.au umesahau kuwa mme/mke wa mtu ni sumu?,unafanya makosa kusariti ndoa,hiyo dhambi itakuandama.
 
Atupe nyumba
maana na ujenzi Jamaa alisaidia
 
Tamaa ikichukua mimba uzaa dhambi,dhambi ikiisha kukomaa uzaa mauti.Mshahara Wa dhambi ni mauti mrudie Yesu.
 
Endelea tu nae maana ukisema umuache hautamuacha n kujiongopea tu mwnyw but kiporo hakipikwiii
 
Saa ingine ni bora mtu kuishi mwenyewe tu. Hizi habari za ndoa zinaanza kupitwa na wakati
 
yaani angejua jamaa anamtumia tu hampendi wala nini? tena anamshangaa mke wa mtu kugegedwa nje nadhani anajisifu kwa kutomuoa maana hafai kabisa na ipo siku atamdump kama choo na hapo itakuwa too late maana atakuwa keshaharibu kwa mumewe
Unaolewa Na una mumeo alikuchagua kati ya wale wooote aliopitiapitia then Leo unamlipa haya tena macho makavu haya usoni hana
 
Madhara ya Jamii/family kufosi muoane watu wa aina flani mfano dini moja,kabila,wenye kazi, kipato nk...mkipishana dini tu family zingine hazitaki hivyo mtu anajikuta anaoa/olewa na mtu asiempenda
Wewe kama humpendi mwambie ili asipoteze muda wake kwako, kwa hiyo kama humpendi unaona ni halali kugawa nje sio. Bado hiyo sio sababu ya kucheat bwana
 
Unaolewa Na una mumeo alikuchagua kati ya wale wooote aliopitiapitia then Leo unamlipa haya tena macho makavu haya usoni hana
Duh ina maana mwanamke hana maamuzi au uchaguzi wowote kuhusu ndoa na maisha yake ya kimahusiano kwa ujumla?
 
Duh ina maana mwanamke hana maamuzi au uchaguzi wowote kuhusu ndoa na maisha yake ya kimahusiano kwa ujumla?
Hujanielewa unapokua umeolewa hujichukulii maamuzi unavyitaka mmeoana mmekua mwili mmoja maamuzi mnachukua pamoja kabla ya kuolewa you're free to do whatever the hell u want to!!
 
Is it serious??? Nashindwa kuamini, kama mlianza wote mkiwa hamna familia kwanini hamkuwa na uelekeo wa kuanzisha familia...ilihali mlikua mnapendana??? Leo mmepata wenza mnaanza kuwadokolea!!
Nimewaza kama wewe. Kwanini wasingeoana basi kama hawakuwa na tatizo lolote. Nimehisi huu ni uongo wa kutunga na kutusumbua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…