Nawezaje kumuacha???

Nawezaje kumuacha???

Swenailie

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2016
Posts
240
Reaction score
230
Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia pamoja hilo tulilielewa mapema. Alipopata mwenza alinijulisha na tukaweka mikakati ya kutomkwaza mwenza wake. Alipoooa tuliendelea kuwa pamoja ila kwa mikakati ile ile. Nilipopata mwenza basi tukaweza kufanya vile vile. Na leo ninamiaka mitano katika ndoa na yeye anaiaka sita na nusu katika ndoa yake. Ni mwanaume anaenifaham anajua kipi napenda kipi sipendi wapi nimekwazika wapi sijakwazika hata mm pia. Kamuita mtoto wake jina langu. Nilishindwa kuamua jina la mwanangu maana madaraka yako kwa mume wangu ila nilitamani nimuite pia. Maisha yetu yameendelea. Kuna kipindi tulikwama ujenz alinisaidia sana. Kwakweli ni mtu wakaribu katika maisha yangu. Ila kila napofikiria huyu niliefunga nae ndoa najiona nafanya kosa kubwa. Ni ngumu yeye kujua kwani uhusiano wetu si wakujionesha hata kidgo siwez kaa bar wala sehem ya starehe nikiwa nae wala siwez kulala gesti. Ninapotaka kuonana nae naenda umbali na mazingira ninayoishi. Ambako hakuna uwezekano wa wenza wetu kujua. Ninaumia tu kwamba nitaacha lini kutoka nje ya ndoa yangu niliyoapa kanisan. Hebu nishaurini maana huyu nampenda ila si wangu halali
 
unaweza muacha kupitia hii mbinu...hakikisha usikumbuke wala usifanye mambo ambayo mlikuwa mnafanya mkiwa nae,usikumbuke fadhila zake hata chembe,tupa vitu vyote ambavyo alikupa au alikununulia,zingatia akili yako yote kwa mumeo wa sasa....utamsahau hatimaye utamacha kama alivyo...
 
Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia pamoja hilo tulilielewa mapema. Alipopata mwenza alinijulisha na tukaweka mikakati ya kutomkwaza mwenza wake. Alipoooa tuliendelea kuwa pamoja ila kwa mikakati ile ile. Nilipopata mwenza basi tukaweza kufanya vile vile. Na leo ninamiaka mitano katika ndoa na yeye anaiaka sita na nusu katika ndoa yake. Ni mwanaume anaenifaham anajua kipi napenda kipi sipendi wapi nimekwazika wapi sijakwazika hata mm pia. Kamuita mtoto wake jina langu. Nilishindwa kuamua jina la mwanangu maana madaraka yako kwa mume wangu ila nilitamani nimuite pia. Maisha yetu yameendelea. Kuna kipindi tulikwama ujenz alinisaidia sana. Kwakweli ni mtu wakaribu katika maisha yangu. Ila kila napofikiria huyu niliefunga nae ndoa najiona nafanya kosa kubwa. Ni ngumu yeye kujua kwani uhusiano wetu si wakujionesha hata kidgo siwez kaa bar wala sehem ya starehe nikiwa nae wala siwez kulala gesti. Ninapotaka kuonana nae naenda umbali na mazingira ninayoishi. Ambako hakuna uwezekano wa wenza wetu kujua. Ninaumia tu kwamba nitaacha lini kutoka nje ya ndoa yangu niliyoapa kanisan. Hebu nishaurini maana huyu nampenda ila si wangu halali
Is it serious??? Nashindwa kuamini, kama mlianza wote mkiwa hamna familia kwanini hamkuwa na uelekeo wa kuanzisha familia...ilihali mlikua mnapendana??? Leo mmepata wenza mnaanza kuwadokolea!!
 
Wenye ndoa hua mnatukatisha tamaaa

Mama kitendo cha nyie kutambua hakuna future kati yenu mlipaswa mtengeneze ukuta imara hapo

Anakusaidia ujenzi how Na wewe umeolewa una mumeo ambae mlipaswa mjikwamue nyie wenyewe

Ifike mahali ujisikie vibaya Na huwezi kuacha kufanya au kupenda kufanya jambo ikiwa moyo wako haujaamua kufanya hivo

Anakupenda sawa mbona hakukuoa?
 
Shetani mkubwa wewe ulaaniwe, nyie ndio mnatufanya tusioe wanawake tunaokutana ukubwani bz wanakuwa washafanya mengi, wewe endelea naye tu hata ukitaka MPE Tigo ila wewe ni malaya mbwa Mkubwa wewe IPO siku utaumbuka
 
unaweza muacha kupitia hii mbinu...hakikisha usikumbuke wala usifanye mambo ambayo mlikuwa mnafanya mkiwa nae,usikumbuke fadhila zake hata chembe,tupa vitu vyote ambavyo alikupa au alikununulia,zingatia akili yako yote kwa mumeo wa sasa....utamsahau hatimaye utamacha kams alivyo...
Atavitupa nje (physically) ila deep in the heart ataendelea kuishi naye!
 
Atavitupa nje (physically) ila deep in the heart ataendelea kuishi naye!
hamna...ukitupa vitu unakuwa umei-fomart mind yako so kumkumbuka kirahisi inakuwa ngumu....mwishowe unamsahau kabisa...
 
Shetani mkubwa wewe ulaaniwe, nyie ndio mnatufanya tusioe wanawake tunaokutana ukubwani bz wanakuwa washafanya mengi, wewe endelea naye tu hata ukitaka MPE Tigo ila wewe ni malaya mbwa Mkubwa wewe IPO siku utaumbuka
995fee33c631bdbf1c2174d89b5e5cc2.jpg
 
Shetani mkubwa wewe ulaaniwe, nyie ndio mnatufanya tusioe wanawake tunaokutana ukubwani bz wanakuwa washafanya mengi, wewe endelea naye tu hata ukitaka MPE Tigo ila wewe ni malaya mbwa Mkubwa wewe IPO siku utaumbuka
Nahis it is too soon to judge. No one is perfect. Anapaswa aingie kwenye maombi. Mungu ni mwema atafanya njia.
 
Shetani mkubwa wewe ulaaniwe, nyie ndio mnatufanya tusioe wanawake tunaokutana ukubwani bz wanakuwa washafanya mengi, wewe endelea naye tu hata ukitaka MPE Tigo ila wewe ni malaya mbwa Mkubwa wewe IPO siku utaumbuka
Mkuu punguza hasira basi!! Ni kweli hii inachefua lakini tumsaidie coz kaonyesha nia ya kumuacha aende
 
Nimejisikia kusisimka kabisa, kikwazo cha ninyi kuoana ilikuwa ni nini hasa??
Kama mlivyoamua kutokuoana hebu muamue kila mmoja wenu atulie na mwenza wake. Sitaki kuamini kwamba huwezi kuachana nae we sema hujaamua tu .
Mnavyowatenda wenzi wenu wala Mungu hapendi arobaini yenu ikifika mtajuta.

Futa kabisa mawasiliano naye kwa njia yoyote ile focus kwenye ndoa yako, mlee mumeo na watoto wenu na la mno mpende na kumheshimu mumeo
 
hamna...ukitupa vitu unakuwa umei-fomart mind yako so kumkumbuka kirahisi inakuwa ngumu....mwishowe unamsahau kabisa...
Ok....it can be one step ahead....duuuh ila haya mambo ya mahusiano na ndoa ni magumu sana! Unaweza ukawa ktk ndoa na mtu ila huna mahusiano nae, ukabakia kwenye mahusiano na jamaa yako wa zamani! Mungu atusaidie peke yetu hatuwezi!!
 
Siku hizi mapenz yamekuwa magumu sana. Mlikuwa pamoja baadae kila mmoja akapata mpenzi.
Kama mnapendana kwann hamjaoana?
Futa kila kitu kinachomhusu huyo mwanaume mpaka contact zake na ikibid mblock kbsa.
Uamuz ni wako ila hakuna siri ya 2 ktk dunia hii. Siku ukifumwa ndiyo itajua gharama za ndoa
MTAKA VYOTE KWA PUPA HUKOSA VYOTE
 
Ndio mana mungu alitaka tuoe bikira umezoea kubadili mb*** tutolee
 
Kumuacha itawezekana pindi tu pale mtakapo fumaniwa, tengeneza mazingira hayo halafu utakuja kuniambia......utamwacha kiroho safi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom