chrisman49
Kama njia waliyokupa wadau hapo juu inakuwa ngumu kwako kuielewa kuna njia nyingine iangalie inaweza kukusaidia
Ingia
HAPA na usome post #2 imeandikwa na Mwali, ukiyaelewa maelekezo hayo na kufanikiwa usisahau kumgongea like
Mwali
{Sio vibaya na Cookie naye ukimgongea like. }