Nawezaje kumkomesha huyu mwanamke?

Nawezaje kumkomesha huyu mwanamke?

Kuwa na mahusiano na hiyo Jinsia inatakiwa uangalie sana Maslai na usalama wako kuliko Sex zaidi na ukiwa na naye ni sawa na kuwa na Pasi ambayo Wire(Mwanamke) umechubuka ukijisahau tuu unakupiga Shot
 
Achilia mkuu na usamehe yote,sababu nikwamba havidumu nawe daima.
Jipende jithamini na jipe heshma binafsi.
#YATOSHA#
 
Amekula sana hela zangu.
Amepoteza muda wangu
Ameniharibia network na baadhi ya watu,

Amenitukana sana na kunidharirisha

Wazazi wake wote wananipa maneno mabaya juu yangu...

Na yeye dharau haziishi na maneno ya kuniumiza.
Mnawapataga wapi kama hao wakuu??
 
Back
Top Bottom