Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Labda amtafute Mshana Jr atamsaidia ampe dawa ya kutoonekanaSimu yako unawaogopa watu kuleft kwenye group hakuna njia yeyote ya kutoonekana lazima wajue ukileft
Labda amtafute Mshana Jr atamsaidia ampe dawa ya kutoonekanaSimu yako unawaogopa watu kuleft kwenye group hakuna njia yeyote ya kutoonekana lazima wajue ukileft
mkuu hilo ni swali? wewe ndio unaturudisha nyuma kufika huo uchumi wa kati kushindwa kujibu nilichokuuliza bossWapi nimeandika nakimbia madeni . Watz itatuchukua muda mrefu kufika uchumi wa kati
Hii ni sawa na kulia chakula gizani kwa kumuogopa jiraniSimu yako unawaogopa watu kuleft kwenye group hakuna njia yeyote ya kutoonekana lazima wajue ukileft
Eti unaogopa watu watanionajeHii ni sawa na kulia chakula gizani kwa kumuogopa jirani
hahahaa waulizia fisi shinyangaHahaha kwahiyo huyu michango ndio inamkimbiza mpaka anataka kuleft asionekane