Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,357
- 2,480
Hii ndiyo Jamii Forumchukua maji ya baridi kunywa vikombe vitatu afu kula ugolo bangi 6 afu pasua simu ukishaipasua kimbia bila kuangalia nyuma:
Hii ndiyo Jamii Forumchukua maji ya baridi kunywa vikombe vitatu afu kula ugolo bangi 6 afu pasua simu ukishaipasua kimbia bila kuangalia nyuma:
😱 ama kweli habari mchanganyiko duu !chukua maji ya baridi kunywa vikombe vitatu afu kula ugolo bangi 6 afu pasua simu ukishaipasua kimbia bila kuangalia nyuma:
Ku leave siyo ku left
Tafuta line nyingine ya simu, install whatsapp kupitia line hiyo mpya na uwape contacts wako namba mpya, kisha rudishia line yako ya zamani, kule kwenye group wao watakuwa wanakuona kama member wao lakini kiuhalisia you do not exist, endelea kula maisha.
mkuu unakimbia madeni?
hahaaa. itakuwa anataka kuleft group la familiar na la michango tu huyo ".....
ngoja nifatilie comments huwenda namimi nikanufaika hapa









Km haitasaidia endelea kubaki grpn.Hii njia hautasidia Mkuu
hahaaa..achana na kitu kinachoitwa michango ..shem
hahaaa..achana na kitu kinachoitwa michango ..shem
Nitumie njia gani kuleft kwenye magroup ya WhatsApp bila member kujua kama nimeleft
Only JFchukua maji ya baridi kunywa vikombe vitatu afu kula ugolo bangi 6 afu pasua simu ukishaipasua kimbia bila kuangalia nyuma:
Umewashwa na nini kuja kuchangia, watu kama nyie ndio mnatakiwa Mombasa .