Nawezaje kuleft kwenye group

Nawezaje kuleft kwenye group

Hapa ni kwamba unamwambia abadili no bado haujamsaidia
Ku leave siyo ku left

Tafuta line nyingine ya simu, install whatsapp kupitia line hiyo mpya na uwape contacts wako namba mpya, kisha rudishia line yako ya zamani, kule kwenye group wao watakuwa wanakuona kama member wao lakini kiuhalisia you do not exist, endelea kula maisha.
 
Hakuna solution
Hizi ni zama za ukweli na uwazi
 
Nitumie njia gani kuleft kwenye magroup ya WhatsApp bila member kujua kama nimeleft

Watukane wote tusi la ' Kutukuka ' halafu wenyewe watarahisisha tu safari yako kuondoka huko ili ukaendelee na Upopoma wako Kwingineko.
 
Watukane wote tusi la ' Kutukuka ' halafu wenyewe watarahisisha tu safari yako kuondoka huko ili ukaendelee na Upopoma wako Kwingineko.
Umewashwa na nini kuja kuchangia, watu kama nyie ndio mnatakiwa Mombasa .
 
Kaa tu kimya kimya , usijibu msg zao wala usipost chochote, lakini kusema ku left kimya kimya hiyo kitu hakuna lazima watajua member wengine
 
IMG_0816-1.png

Hakikisha unapazima hapa alafu leave the group hawatapata notification labda mtu aamue kukutafuta kupitia ile list ya member wote wa group
 
Back
Top Bottom