Nawezaje kuleft kwenye group

Soma hapo
Screenshot_20180908-073821.jpg
 
Ku leave siyo ku left

Tafuta line nyingine ya simu, install whatsapp kupitia line hiyo mpya na uwape contacts wako namba mpya, kisha rudishia line yako ya zamani, kule kwenye group wao watakuwa wanakuona kama member wao lakini kiuhalisia you do not exist, endelea kula maisha.
 
chukua maji ya baridi kunywa vikombe vitatu afu kula ugolo bangi 6 afu pasua simu ukishaipasua kimbia bila kuangalia nyuma:
 
Back
Top Bottom