ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 1,703
- 4,405
Unaweza pata kitu hapa Mkuu.Hivi nawezaje kujua Kama simu yangu imetrakiwa(hacked/ kudukuliwa) kwa kutumia IMEI ?. Na je ntajiondoaje?
Unaweza pata kitu hapa Mkuu.Hivi nawezaje kujua Kama simu yangu imetrakiwa(hacked/ kudukuliwa) kwa kutumia IMEI ?. Na je ntajiondoaje?
Kwa nnavohisi...ukiforward halafu mtu akakupigia wote mnapokea..lakini divert mtu akikupigia wewe hata huioni inaenda direct kwa uliyeidivert...so mtu akikupigia inakuwa kama kampigia mtu mwingineTofauti ni lugha tu [emoji16] forward na divert.
Kama unataka kufoward calls zako kwa mtu. Bofya *62*namba ya simu#
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sawa. Ila mimi binafsi hayo maneno huwa nayaona yakitumika kama nikivoelekeza. Ila kama una namna tofauti tueleweshe ili na sisi tupate kuyaelewa. Maana hii lugha iliondoka na bombadiaKwa nnavohisi...ukiforward halafu mtu akakupigia wote mnapokea..lakini divert mtu akikupigia wewe hata huioni inaenda direct kwa uliyeidivert...so mtu akikupigia inakuwa kama kampigia mtu mwingine
TCRA wa Nchi gani ndo wanafanya hiyo kazi?TCRA kazi yao kubwa sana pia ni kukulinda usidukuliwe!!
Ni htr makin si nikosa kisheria kudukua simu ya mtuTCRA wa Nchi gani ndo wanafanya hiyo kazi?
😂 😂 😂 😂 iyo avatar yako aisee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kesha kudukua huyo mwenzio, siku ujichanganye upeleke kimada guest anakufumania bila chenga.
Saf sn mkuu, mngu akubarikiUnaweza pata kitu hapa Mkuu.View attachment 1651999
Nimeshaipga lkn ##002# lkn nikitma sms narudishiwa ktk kwa mtu aliyenihackJinsi ya kuhack sms/Calls za mtu na kuzisoma / kupokea au kuckiliza mazungumzo yao bila yeye /wao
kujua
1. Unachukua cmu ya mtu unaetaka kumuhack
2. Then unapiga 21 unaweka namba yako ya cmu utakayopokea hzo msg/calls (mfano:[emoji117] *21*0659200302#) Ok .
3. Na ukitaka kuiondoa hii huduma unaipa [emoji117](##21# )
4. Ukitaka kujua kama kuna mtu amekuhack unapiga [emoji117]{ *#61# }
5. Unaweza pia kutumia hii ili kupata calls zote za mtu unaetaka kumuhack mazungumzo yake {61 0659200302#}Ok
Note:Endapo mtu uliemuhack atapigiwa cmu na kwako pia itaita ukiwai kupokea ww kabla yake ni lazma hutaulizwa mwenye cmu yuko wap
Lkn kama atapokea basi unaweza kusikiliza mazungumzo yao bila ya wao kujua hata kam utaongea hawawezi kukusikia [emoji817].