Ulisha pigwa ban 😁 kwa kuangalia na kudownload vitu tatanishi...Nina shida kubwa sana na mtandao wa Telegram Ila nashindwa kujiunga naambiwa Hadi nilipie je kuna ujuzi WA kujiunga bila kulipia?
Naona kujiunga kwa namba mpya ndo changamoto maana CCM Walishaufungia huo mtandaoNina shida kubwa sana na mtandao wa Telegram Ila nashindwa kujiunga naambiwa Hadi nilipie je kuna ujuzi WA kujiunga bila kulipia?