Ipad ya android??? Nyie ndio mkipata hela mnanunua vitu kwa fasheni bora wamechukua wanaojua kuitumia!😛
Kama ulishawahi kuinstall anti-theft app yeyote na kuiwekea password itakusaidia katka kuitrack. Hilo moja.
Pili, kama umeshawahi kujua IMEI- code za simu hasa ukibadili line zinnaweza hujulukana ktk kuitafuta. Hiyo ni endapo uliziandika some where. Kama ndiyo fika ktk ofisi za makampuni yaayoendana na aina ya laini.
Naomba unisaidie kuijua, iPod ya android ikoje?
Mkuu kwanza hakuna ipad ya Android
Turudi kwenye mada
Kimsingi device zote zinazotumia android zikiibiwa na iwapo aliyeiba atafanya factory reset uwezekana wa kutrack kama uliinstall apps yoyote unakua haupo labda kama umeinstall avast ambaya inahitaji uroot device yako
Njia pekee ni kama una risiti ya hizo device zako na IMEI nenda polisi kitengo cha mitandao watakusaidia kujua namba gani inatumia device zako na watajua namna ya kufanya( ni ngumu na inaukiritimba sana lakini)