Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,673
Habarini, nilikuwa natumia internet ya simu kwa njia ya USB kwenda kwenye pc sasa kama wiki moja hivi ile option kwenye simu imepotea.
Hapa nlipo nna modem mbili za huawei ya tigo na zain za siki nyingi sana. Ila hapa natumia internet ya halotel, sasa nlitaka msaada wa ku zi chakachua ili niweze kutumia na line ya halotel.
Asanteno
Hapa nlipo nna modem mbili za huawei ya tigo na zain za siki nyingi sana. Ila hapa natumia internet ya halotel, sasa nlitaka msaada wa ku zi chakachua ili niweze kutumia na line ya halotel.
Asanteno