View attachment 2356837
Zamani nilikuwa mara mbili ama mara tatu asubuhi kunywa chai, chakula cha mchana na cha usiku
Lakini kwa sasa ni lazima nile mara tatu na kuna ratiba za ziada,,,
mida ya saa nne asbuhi lazima ninywe chai ya pili pamoja na vitafunwa
Jioni nagonga chips, mshkaki na pepsi, ikifika usiku nashindilia dinner kama kawaida
hizi karanga za mtaani, mahindi ya kuchoma na machungwa nanunua sana....
kiukweli ni kama utumbo wangu umetanuka unahitaji supply zaidi.
Ni vipi nawezaje kuacha huu uraibu