G Gthedon Member Joined Jun 8, 2014 Posts 22 Reaction score 4 Aug 28, 2014 #1 Jamani nataka kuchukua cement mifuko 80 kwa bei ya kiwandani hasa kiwanda cha Vikindu ,kwa anayeweza kunisaidia jamani.
Jamani nataka kuchukua cement mifuko 80 kwa bei ya kiwandani hasa kiwanda cha Vikindu ,kwa anayeweza kunisaidia jamani.
Disuma Member Joined May 23, 2014 Posts 62 Reaction score 19 Aug 30, 2014 #2 Ipo twiga kwa 13200 per bag PM kama inakufaa
G Gthedon Member Joined Jun 8, 2014 Posts 22 Reaction score 4 Aug 31, 2014 Thread starter #3 Wapatikana wapi