Wadau naomba ushauri.nina morden ya airtel inasumbua sana sana network,nikitaka kufanya kazi zangu nisubiri mpaka saa nane usiku ndio inakua faster.mida ya kazi hata jiona hakuna kitu kabisa.je naweza nikawashitaki hawa watu? Wamenipa hasara kubwa sana.naomba ushauri.