Naweza kuunganisha king'amuzi kimoja TV tofauti?

Ndio inawezekana..mimi ninaking'amuzi cha Azam na dishi lake..sasa dishi liliyumba kama mara mbili ivi fundi akanambia ili nisahau maswala yakuyumba yumba nitafute kadish kastar times hako ukiweka umeweka japo toka anirekebishie kwamara yamwisho halijayumba tena konami nikapotezea kutafuta tena dish la startimes
Huyo wa kwanza tu ndio alikuwa hajafunga vizuri au lilijuwa limepinda ila hamna dish linalosumbuaga
 
Inawezekana kwa namna mbili:

1. Kama una dish moja na king'amuzi kimoja, basi utahitaji kifaa chenye 1 input ya HDMI, na 2 outputs. Kwa maana utachomeka hicho kifaa kwenye king'amuzi chako, alaf kwenye zile 2 outputs utachomeka 2 HDMI cables ambazo zote zitaenda kwenye Tv mbili tofautu.

Ubaya wa hii ni kwamba, tv zote zitaonesha channel moja, maana king'amuzi ni kimoja.

2. Unakuwa na dish moja, ila ving'amuzi vinakuwa zaidi ( mfano viwili au vitatu). Hapa utahitaji T-connector. Let say unaving'amuzi viwili. Ule waya unaotoka kwenye dish mpaka ndani, ukifika ndani connect kwenye port moja ya ile T-connector, alaf katika zile port 2 zinazobaki, unaunganisha tena waya zingine kama ule uliotoka kwenye dish, alaf kila waya unaupeleka kwenye king'amuzi. Hapa kila tv utaona channel unayotaka.

Njia hii ya pili unaweza kuitumia kwa pia kuunganisha nyaya toka madishi tofauti, alaf ndani ya nyumba ukaingia waya mmoja tu ambao utaweza kuutumia kwenye ving'amuzi vyote.
Hii pia ina shida ukiwasha dicoda zote tp ikiwa tofauti polariti usumbufu ni mkubwa na saa zingin zinaweza unguza dikoda
 
Inawezekana kwa namna mbili:

1. Kama una dish moja na king'amuzi kimoja, basi utahitaji kifaa chenye 1 input ya HDMI, na 2 outputs. Kwa maana utachomeka hicho kifaa kwenye king'amuzi chako, alaf kwenye zile 2 outputs utachomeka 2 HDMI cables ambazo zote zitaenda kwenye Tv mbili tofautu.

Ubaya wa hii ni kwamba, tv zote zitaonesha channel moja, maana king'amuzi ni kimoja.

2. Unakuwa na dish moja, ila ving'amuzi vinakuwa zaidi ( mfano viwili au vitatu). Hapa utahitaji T-connector. Let say unaving'amuzi viwili. Ule waya unaotoka kwenye dish mpaka ndani, ukifika ndani connect kwenye port moja ya ile T-connector, alaf katika zile port 2 zinazobaki, unaunganisha tena waya zingine kama ule uliotoka kwenye dish, alaf kila waya unaupeleka kwenye king'amuzi. Hapa kila tv utaona channel unayotaka.

Njia hii ya pili unaweza kuitumia kwa pia kuunganisha nyaya toka madishi tofauti, alaf ndani ya nyumba ukaingia waya mmoja tu ambao utaweza kuutumia kwenye ving'amuzi vyote.
...
Jibu bora hadi sasa
Ongeza kapicha walau kwa hizo njia za mwisho ...
Wadau picha zinaongea zaidi ya maandishi ...
...
 
Nielekeze Sasa namna ya kufanya

Unatumia HDMI au RCA??

Nunua Splitter
48DAC6F1-E789-454C-9217-708611926751-10230-00000DBE453D9DB4.jpg

2A402856-A275-4CCC-8D95-1CE6DD3B8568-10230-00000DBE2795F03B.jpg

5F805311-A006-40A0-BEE7-D6DE184DB913-10230-00000DBDC9E3197A.jpg


Ila zingatia urefu wa cable maana quality inaweza pungua.

kuna mambo mengi hapa nashindwa hata niongee nn
 
Hii pia ina shida ukiwasha dicoda zote tp ikiwa tofauti polariti usumbufu ni mkubwa na saa zingin zinaweza unguza dikoda
Maybe, mayb not. Mimi nimeitumia sana hii, so far sijawahi kutana na tatizo lilote.
 
Wakuu naomba niulize hili kama litawezekana pia;
Nina king'amuzi cha startimes na dish lake,ila nataka kutumia na dstv je nikiweka king'amuzi cha dstv pekee bila dish lake yaan nikawa natumia lile la startimes je itawezekana?,kama inawezekana nielekezwe na namna ya kuconnect from dish to ving'amuzi na je uelekeo wa dish hautabadilika pale unapokamata wa startmes?...asante!

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Wakuu naomba niulize hili kama litawezekana pia;
Nina king'amuzi cha startimes na dish lake,ila nataka kutumia na dstv je nikiweka king'amuzi cha dstv pekee bila dish lake yaan nikawa natumia lile la startimes je itawezekana?,kama inawezekana nielekezwe na namna ya kuconnect from dish to ving'amuzi na je uelekeo wa dish hautabadilika pale unapokamata wa startmes?...asante!

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Inategemea na dish la startimes toleo gani.kuna yale meupe yanakuwa makubwa kidogo, yanalingana na madish ya dstv uwa yapo fresh hata ukifunga kwenye dstv una uwakika wa kupata signal za juu.

Ila yale madish ya startimes yanayofanana na madish ya zuku, yale ukitumia kwenye dstv utapata low signal kwa iyo baadhi ya chanel utazisikia tu kwenye bomba.

Dstv na startimes zinapita njia kwenye satelite tofauti mkuu kwa iyo itabidi fundi aje aliamishe uwelekeo
 
Back
Top Bottom