mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 962
- 1,604
Habari wapendwa,
Napenda kujua namna ya kutumia dishi na king'amuzi kimoja ili kisambaze channel katika tv tofauti.
Nataka kila chumba kiweze kupata channel lakini ninadish moja.
Kwa anayefahamu naomba anielekeze namna ya kufanya hatua kwa hatua.
Asante.
Napenda kujua namna ya kutumia dishi na king'amuzi kimoja ili kisambaze channel katika tv tofauti.
Nataka kila chumba kiweze kupata channel lakini ninadish moja.
Kwa anayefahamu naomba anielekeze namna ya kufanya hatua kwa hatua.
Asante.