ububudu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 266
- 414
Nilinunua kiwanja kutoka kwa mmiliki wa awali ila mikataba ya mauziano nilifanya na ndugu yake katika Serikali ya Mtaa. Hii ilikuwa ni baada ya kudhibitisha yeye mwenyewe kwa njia ya simu mbele ya uongozi kuwa atumiwe pesa kwa njia benki alafu mchakato wamauziano nimalizane na nduguye.
Hivyo nilimtumia pesa na kubaki na payslip ya benki then tukaandika mkataba na ndugu yake ikisimamiwa na uongozi wa mtaa na mashahidi nika attach na ile payslip.
Kwasasa nahitaji kutengeneza hati kwakuwa kiwanja kilipimwa na namba ilikuwepo hata kabla ya mimi kununua eneo hilo ingawa mmiliki wa awali hakuwahi kufanya maombi ya hati.
Swali langu kwenu wakuu je naweza kutumia ile document kuombea hati au Kuna vitu vya ziada nahitaji kuwa navyo?
Hivyo nilimtumia pesa na kubaki na payslip ya benki then tukaandika mkataba na ndugu yake ikisimamiwa na uongozi wa mtaa na mashahidi nika attach na ile payslip.
Kwasasa nahitaji kutengeneza hati kwakuwa kiwanja kilipimwa na namba ilikuwepo hata kabla ya mimi kununua eneo hilo ingawa mmiliki wa awali hakuwahi kufanya maombi ya hati.
Swali langu kwenu wakuu je naweza kutumia ile document kuombea hati au Kuna vitu vya ziada nahitaji kuwa navyo?