Naweza kutumia Fonts style bili ku-root simu yangu?

Naweza kutumia Fonts style bili ku-root simu yangu?

f1b98cb751660840aa8faa54884fdd6d.jpg
8508eee71c01a7699376543feee19e8e.jpg
ab05d2b2c6e8328b17affe927a1a0349.jpg
b2708248d841ec2a532579ba550741bf.jpg
Ok ahsante sana kwa procedures hizo
 
habari wakuu, nami pia nataka kubadili font katika aqua M4 dual nashindwa yanitaka ni root device niko tayaru kuroot ila nashindwa maana hai connect kwenye pc nimejaribu kila troubleshooting ila nilifanikiwa kwa muda tu kisha baadae ikakataa tena. msaada tafadhali kama naweza ku root bila kutumia pc.
simu ni sony experia aqua M4 dual
 
Back
Top Bottom